Spika Tulia kila kitu hujui ni bora ujiuzulu

Spika Tulia kila kitu hujui ni bora ujiuzulu

Spika yupo SAHIHI unajua bunge ni chombo Cha wananchi na watu mbalimbali wanafuatilia Sasa unapoingiza maneno ya ufupisho wengi wanaweza wasielewe hata mm mm mwenyewe sijaelewa na spika sio Kwamba hajui ila anasimama Kwa niaba ya wananchi wote wanaojua na wsiojua
 
Sasa spika atajua kila kitu jamani mambo mengine muangalie mnapolaumu jamani, yeye ni professional kwenye sheria sasa hizo concept za kichumi anaweza kujua kila kitu kweli jamani, wewe sio mfamasia wala sio daktari utaweza kujua terminology zote za kifamasia au kidaktari mbona kwenye kusimamia kanuni yupo vizuri lakini ni kwanin kwasababu ni mwanasheria by professional huko kwingine akiwa na idea sio vibaya Tusipende laumu mambo madogo madogo kama haya jamani

lazima aulize jambo vizuri ajirizishe bunge ni chombo muhimu chenye kutazamwa na wengi na lenye maamuzi ya mustakabali wa taifa hapa nchini na hata nyanja za kimataifa

SPIKA ANAJITAHIDI SANA.
Fact
 
Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio kituo gani hicho? Sasa unawezaje kuwa Spika hujui hata maana ya TRAB na TRAT.

Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.

Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.

Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.

Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.
Tulia ni miongoni mwa wasomi wenye PhD wanaonipa mashaka sana.

Sisemi ana PhD fake hapana lakini anaitumia vibaya sana.
 
wewe ndio haujui sheri na miongozo,anachosema sio yeye kama yeye ajui,,Anacjotaka wafafanue ili kila mtu aelewe kusiepo hojaji.
 
Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio kituo gani hicho? Sasa unawezaje kuwa Spika hujui hata maana ya TRAB na TRAT.

Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.

Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.

Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.

Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.
Huyu dada yetu hajui mambo mengi.
Infact, wanasiasa wengi wa zama za leo wenye nafasi, hawajui mambo mengi sana. Tatizo ni kwamba hawajui kama hawajui. Utakuta mtu anauliza swali au anazungumzia jambo unabaki tu kujiuliza huyu mwenzetu kakulia nchi gani au kijiji gani?
 
Wewe ndio umeboronga. Hakuna kiongozi anayejua mambo yote ya kitaalamu na kujifanya mjuaji ni ujinga zaidi.

Mara zote anapoomba ufafanuzi ni kwa faida yake na wabunge wengine wote ili waweze kujadili hoja wakiwa na uelewa wa pamoja. Watanzania mbona mnakuwa hivi?
Ni kweli, lkn yeye amezidi kwa kubishania vitu vidogo vidogo ni mara 100 akakaa kimya ili kulinda heshima ya kiti.
 
Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio kituo gani hicho? Sasa unawezaje kuwa Spika hujui hata maana ya TRAB na TRAT.

Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.

Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.

Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.

Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.
Tulia ni PhD wewe sio wapi na wapi? Supika anaposema mimi sijui TRAB nieleze siyo kwamba hajui ila anataka ajieleze ile na wenginecwanaomsikiliza wajue ili kuwe na context kwenye hoja yake sijui kama hapo labda nimekubom? Ni njia nzuri pedagogically (are we together?) kumfundisha mtu jambo kwa njia ya maswali na majibu. Mwache Supika atumikie Nji yake usisahau ni mhimili.
 
Back
Top Bottom