sitaki hela
Member
- Oct 10, 2022
- 93
- 117
FactSasa spika atajua kila kitu jamani mambo mengine muangalie mnapolaumu jamani, yeye ni professional kwenye sheria sasa hizo concept za kichumi anaweza kujua kila kitu kweli jamani, wewe sio mfamasia wala sio daktari utaweza kujua terminology zote za kifamasia au kidaktari mbona kwenye kusimamia kanuni yupo vizuri lakini ni kwanin kwasababu ni mwanasheria by professional huko kwingine akiwa na idea sio vibaya Tusipende laumu mambo madogo madogo kama haya jamani
lazima aulize jambo vizuri ajirizishe bunge ni chombo muhimu chenye kutazamwa na wengi na lenye maamuzi ya mustakabali wa taifa hapa nchini na hata nyanja za kimataifa
SPIKA ANAJITAHIDI SANA.
Umeandika nini mkuu naomba kueleweshwaThe one who knows he knows not he knows.
Tulia ni miongoni mwa wasomi wenye PhD wanaonipa mashaka sana.Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio kituo gani hicho? Sasa unawezaje kuwa Spika hujui hata maana ya TRAB na TRAT.
Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.
Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.
Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.
Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.
Aliwekwa na Jiwe lakini.Huyu kawekwa na mafisadi kulinda maslahi binafsi
Nimefurahi maana nilijua ninapoteza uwezo wa kuelewa kumbe kuna wenzanguNataman Kujua Umeandika Nini Ila Sijui Chochote Ulichoandika
Si ajabu nae ni fisadi papaHuyu kawekwa na mafisadi kulinda maslahi binafsi
unahitaji tafsiri au kueleweshwa,brain imestuck😀😀Umeandika nini mkuu naomba kueleweshwa
Huyu dada yetu hajui mambo mengi.Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio kituo gani hicho? Sasa unawezaje kuwa Spika hujui hata maana ya TRAB na TRAT.
Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.
Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.
Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.
Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.
unahitaji tafsiri au kueleweshwa,brain imestuck
unahitaji tafsiri au kueleweshwa,brain imestuck
Ni kweli, lkn yeye amezidi kwa kubishania vitu vidogo vidogo ni mara 100 akakaa kimya ili kulinda heshima ya kiti.Wewe ndio umeboronga. Hakuna kiongozi anayejua mambo yote ya kitaalamu na kujifanya mjuaji ni ujinga zaidi.
Mara zote anapoomba ufafanuzi ni kwa faida yake na wabunge wengine wote ili waweze kujadili hoja wakiwa na uelewa wa pamoja. Watanzania mbona mnakuwa hivi?
Huu bado unadundaNILIANDIKA UZI KAMA HUU UKAFUTWA
UKITAKA KUFUTIWA UZI ANDIKA KUHUSU HUYO SUPIKA NA MWENGE
Yawezekana mko wengi mnaopoteza uwezo wa kuelewa, kwani hujawahi kuona darasa zima linafeli.Nimefurahi maana nilijua ninapoteza uwezo wa kuelewa kumbe kuna wenzangu
Kwa Akili Yako Timamu Unaamini TULIA Hajui Anachouliza.Nimefurahi maana nilijua ninapoteza uwezo wa kuelewa kumbe kuna wenzangu
Wewe ni speka?🤣Nataman Kujua Umeandika Nini Ila Sijui Chochote Ulichoandika
Tulia ni PhD wewe sio wapi na wapi? Supika anaposema mimi sijui TRAB nieleze siyo kwamba hajui ila anataka ajieleze ile na wenginecwanaomsikiliza wajue ili kuwe na context kwenye hoja yake sijui kama hapo labda nimekubom? Ni njia nzuri pedagogically (are we together?) kumfundisha mtu jambo kwa njia ya maswali na majibu. Mwache Supika atumikie Nji yake usisahau ni mhimili.Mara kadhaa nimekuwa nikifuatilia Bunge hasa akiongoza Spika, Dk. Tulia kila jambo analosema Mbunge yeye anasema halijui afundishwe au aeleweshwe, mtakumbuka sakata la TRAB na TRAT aliuliza ndio kituo gani hicho? Sasa unawezaje kuwa Spika hujui hata maana ya TRAB na TRAT.
Mara ya pili niliyomuona Spika ni kutojua Bwawa la Mwalimu Nyerere linagusa mikoa mingapi.. inawezekana vipi Mradi mkubwa kama huu unatekelezwa nchini alafu Spika wa Bunge la nchi hajui Bwawa hilo linapatikana mikoa gani.
Kituko kingine nimeona jana akibishana kuhusu matumizi ya neno LAKI kwenye upitishaji wa vifungu vya Bajeti hajui kama LAKI halimo kwenye namba za kuhesabu.
Tulia anakuwa anapoteza muda kubishana mambo ambayo hayana tija badala ya kusimama imara kuhakikisha Serikali inatimiza wajibu kwa wananchi.
Sasa kila kitu Spika hajui anawezeshaje kukaa kwenye kiti kikubwa namna hiyo kwanini Zungu yeye haborongi anapoongoza Bunge au wale wenyeviti.. Kwanini yeye tu ndio hajui kila kitu.