Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Apr 15, 2023 #41 Escrowseal1 said: Si ajabu nae ni fisadi papa Click to expand... Ni fisadi haswa
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Apr 15, 2023 #42 Bush Dokta said: Aliwekwa na Jiwe lakini. Click to expand... Ndiyo majangili yaleyale
C Chikuvi2021 JF-Expert Member Joined Aug 3, 2021 Posts 491 Reaction score 551 Apr 15, 2023 #43 Kuweka sawa kumbukumbu za Hansard na wabunge wote wawe na uelewa wa pamoja. Sifa za kuwa Mbunge ni kujua kusoma na kuandika,ili wabunge wote wasafiri pamoja kuna haja kutoa ufafanuzi
Kuweka sawa kumbukumbu za Hansard na wabunge wote wawe na uelewa wa pamoja. Sifa za kuwa Mbunge ni kujua kusoma na kuandika,ili wabunge wote wasafiri pamoja kuna haja kutoa ufafanuzi
Jane Lowassa JF-Expert Member Joined May 10, 2016 Posts 4,955 Reaction score 9,041 Apr 15, 2023 #44 Naona kuna vibaraka wa SUgu humu.