Spika Tulia, Tii Sheria Bila Shuruti

Spika wa Bunge ashtakiwe mahakamani.

Kikao kilichaweka KINGA ya kutoshtakika Spika ni batili.

Ktk kuelekea kuandika KATIBA mpya, wote wawe chini ya Sheria.

Mungu pekee ndo hashtakiwi, bt wengine wote wawajibike Kwa makosa waliyotenda wakiwa madarakani. Amen
 
Kiukweli huwezi kumtofautisha Tulia Ackson na Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…