Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
karibu sanaNakusudia kufungua uzi maalumu wa kumchamba spika Tulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
karibu sanaNakusudia kufungua uzi maalumu wa kumchamba spika Tulia.
Kwako Spika wa Bunge Tulia Ackson, umewahi kumsikia IGP Sirro akitoa ushauri kwa Watanzania kuwa ni vema ku Tii sheria bila shurti?
Basi ushauri ule ni kwa watanzania wote ukiwepo wewe. Sasa kwa nini utake ushurutishwe suala la Halima Mdee na wenzake kuondoka bungeni wakati muhimili wa sheria umesha tafsiri kuwa hawastahili kuwa ndani ya jengo letu tukufu?
Unaujua utukufu wa jengo hilo ambalo hata Rais kuingia humo lazima kibali kitolewe?
Tafadhali onyesha mfano wa kutii sheria bila shurti kwa kutekeleza amri ya mahakama na muheshimu Rais ambaye ni mwenyekiti wako wa chama na ametamka kutaka maridhiano.
Kaka yako Ndugai alionyesha kumdharau yaliyompata unayajua basi nawe endelea. Lakini pia nasi wananchi tutakushukia kama mwewe.
Tunakupa mpaka saa 7 mchana uwe ume tii sheria bila shurti.
View attachment 2270261Kikao
Spika wa Bunge ashtakiwe mahakamani.Kwako Spika wa Bunge Tulia Ackson, umewahi kumsikia IGP Sirro akitoa ushauri kwa Watanzania kuwa ni vema ku Tii sheria bila shurti?
Basi ushauri ule ni kwa watanzania wote ukiwepo wewe. Sasa kwa nini utake ushurutishwe suala la Halima Mdee na wenzake kuondoka bungeni wakati muhimili wa sheria umesha tafsiri kuwa hawastahili kuwa ndani ya jengo letu tukufu?
Unaujua utukufu wa jengo hilo ambalo hata Rais kuingia humo lazima kibali kitolewe?
Tafadhali onyesha mfano wa kutii sheria bila shurti kwa kutekeleza amri ya mahakama na muheshimu Rais ambaye ni mwenyekiti wako wa chama na ametamka kutaka maridhiano.
Kaka yako Ndugai alionyesha kumdharau yaliyompata unayajua basi nawe endelea. Lakini pia nasi wananchi tutakushukia kama mwewe.
Tunakupa mpaka saa 7 mchana uwe ume tii sheria bila shurti.
View attachment 2270261
Vp ndugu, ktk hili tusubiri MAANDAMANO au MARIDHIANO?karibu sana
Kiukweli huwezi kumtofautisha Tulia Ackson na MagufuliKwako Spika wa Bunge Tulia Ackson, umewahi kumsikia IGP Sirro akitoa ushauri kwa Watanzania kuwa ni vema ku Tii sheria bila shurti?
Basi ushauri ule ni kwa watanzania wote ukiwepo wewe. Sasa kwa nini utake ushurutishwe suala la Halima Mdee na wenzake kuondoka bungeni wakati muhimili wa sheria umesha tafsiri kuwa hawastahili kuwa ndani ya jengo letu tukufu?
Unaujua utukufu wa jengo hilo ambalo hata Rais kuingia humo lazima kibali kitolewe?
Tafadhali onyesha mfano wa kutii sheria bila shurti kwa kutekeleza amri ya mahakama na muheshimu Rais ambaye ni mwenyekiti wako wa chama na ametamka kutaka maridhiano.
Kaka yako Ndugai alionyesha kumdharau yaliyompata unayajua basi nawe endelea. Lakini pia nasi wananchi tutakushukia kama mwewe.
Tunakupa mpaka saa 7 mchana uwe ume tii sheria bila shurti.
View attachment 2270261