Spika Tulia tuambie, ushahidi wa Mbunge Mpina umeuonaje?

Spika Tulia tuambie, ushahidi wa Mbunge Mpina umeuonaje?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
 
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Majibu unayo mwenyewe. Jiulize tu mtaani kwako sukari ulikuwa unanunua Tsh ngapi kwa kilo kati ya Januari na April 2024 na sasa hivi mwezi Juni ni ngapi?

Mengine waachie wanasiasa waparurane. Atakayeshinda ndiye huyo
 
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Dr Tulia yuko compromised.....sidhani kama ni maamuzi yake.

Shida nyingine ni kuwa kila nafasi aliyopata ni ya mchongo lazima abebwe......hii inampa shida kutumia uwezo wake.
Mimi naona hivyo
 
hii inampa shida kutumia uwezo wake.
Mimi naona hivyo
Bush

Hakika umeongea ukweli mtupu. Mama tulia ackson ni mtu mwenye uwezo mkubwa sana. Tatizo anafanya kazi chini ya maagizo hivyo tunakosa kuona ule uwezo wake.

Kwa hakika tungekuwa na katiba inayolipa bunge nguvu kusimama kivyake tungeshuhudia uwezo wa Tulia ackson.
 
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Mpina
anatetea tumbo lake wewe bwege kwa kuwakilisha wanaomlipa. Mbona akiwa kwenye Serikali ya DHALIMU Magufuli aliwatia hasara wafanyabiashara wengi wa uvuvi kule kanda ya ziwa kwa kuwachomea nyavu?

Kwa taarifa yako huyu Mpina anamiliki ekari za ardhi zaidi ya 1,000 huko Morogoro. Je kazipataje?

Jiulize angekuwa leo ni Waziri kwenye Serikali ya Samia angeweza kuja na hoja hiyo?

Sipendi utumike kuwaneemesha wanasiasa walio kwenye mashindano ya ufisadi. Waache waparurane wenyewe
 
Majibu unayo mwenyewe. Jiulize tu mtaani kwako sukari ulikuwa unanunua Tsh ngapi kwa kilo kati ya Januari na April 2024 na sasa hivi mwezi Juni ni ngapi?

Mengine waachie wanasiasa waparurane. Atakayeshinda ndiye huyo
Hii mada imekuzidi akili bora ukae kimya tu.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Tulia ni muhuni kama wahuni wengine sema yeye anapulizia chooni!
 
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Nilishasema hatuna spika pale.
Bunge liko "auto-pilot".
 
Majibu unayo mwenyewe. Jiulize tu mtaani kwako sukari ulikuwa unanunua Tsh ngapi kwa kilo kati ya Januari na April 2024 na sasa hivi mwezi Juni ni ngapi?

Mengine waachie wanasiasa waparurane. Atakayeshinda ndiye huyo
Unamawazo ya kitoto sana.

Watu wanaiba. na huku maisha yakiendelea kuwa duni.

Watu wanapeana deal, tunalipa 1000 zaidi ya bei harisi. Ubora wa sukali uko duni.

Changamka ili nchi ipige hatua.

Tunahitaji majibu.
 
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)

Siyo tu Bashe amelidanganya Bunge. Za ndani kabisa ni kuwa Bashe ana malipo haramu kutoka kwa waagizaji, kiasi cha sh bilioni 36. Malipo yake ni sh 100 kwa kila kilo.

Rais awaambie wananchi, anasimama na fisadi kama alivyofanya kwenye report ya CAG, au anasimama na wananchi, ili wananchi wajue kama wana serikali inayowadhulumu au inayowahudumia.
 
Mpina
anatetea tumbo lake wewe bwege kwa kuwakilisha wanaomlipa. Mbona akiwa kwenye Serikali ya DHALIMU Magufuli aliwatia hasara wafanyabiashara wengi wa uvuvi kule kanda ya ziwa kwa kuwachomea nyavu?

Kwa taarifa yako huyu Mpina anamiliki ekari za ardhi zaidi ya 1,000 huko Morogoro. Je kazipataje?

Jiulize angekuwa leo ni Waziri kwenye Serikali ya Samia angeweza kuja na hoja hiyo?

Sipendi utumike kuwaneemesha wanasiasa walio kwenye mashindano ya ufisadi. Waache waparurane wenyewe
Wewe ndiyo bwege halisi. Malipo haramu aliyoyapokea Bashe kutoka kwa waagizaji, yanatetea tumbo lako wewe, siyo watanzania.

Fisadi Bashe, anastahili adhabu kali, na Rais kama hatamchukulia hatua basi wananchi watakuwa wametangaziwa rasmi kuwa tuna Serikali ambayo ni ya mafisadi kwaajili ya kulinda mafisadi na ufisadi.
 
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai, pamoja na mambo mangine kuwa Bashe alisema uongo zaidi ya mara kumi.

Kwa mujibu wa Mpina, Waziri Bashe alidanganya kuhusu utaratibu na takwimu muhimu kuhusu uagizwaji, uzalishwaji na usambazaji wa sukariu hapa nchini. Alidanganya ili kuficha ufisadi uliopo kwenye sukari [ambao Bashe anahusishwa nao pamoja na Waziri wa Fedha-Mwigulu].

Mpina alitakiwa nawe Spika awasilishe ushahidi wa kuthibitisha madai yake ya Waziri Bashe kusema uongo. Alipewa siku za kufanya hivyo. Akafanya hivyo. Mpina aliwasilisha ushahidi jadidi kuhusu uongo wa Bashe bungeni na sakata zima la sukari hapa nchini.

Katika namna ya kufunika kombe ili mwanaharamu apite, Bunge lako likaibuka na hoja ya kwamba Mpina amekiuka utaratibu wa kibunge: kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ushahidi wake huo kabla ya kufanyiwa kazi na Spika. Mpina akaitwa Kamati ya Maadili. Akajadiliwa Bungeni. Akapewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya Bunge.

Ukweli kuhusu kukiuka au kutokiuka utaratibu kwa Mpina na uhalali wa adhabu yake mnaujua wenyewe. Sisi wananchi ambao huguswa na kuumizwa na upatikanaji na bei ya sukari tunataka kuujua ukweli. Je, ni kweli kuwa Bashe alisema uongo na anahusika (pamoja na Mwigulu na wengineo) na ufisadi kwenye suala la sukari?

Je, ushahidi wa Mpina, ambao tayari ulishapokelewa na Spika, umethibitisha madai yake au la? Spika Tulia, jitokeze hima utuambie wananchi. Muda ni huu.

Mhe. Rais Mama Samia, jitokeze umalizane na wafanyabiashara!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Ngoja akamuulize chura kiziwi kwanza.
 
Hawezi kusema kitu, jua tu kina RANGO ni maadui wa taifa, wako pale kuona taifa linaamgamia, walichokifanya ni ushahidi tosha.
 
Back
Top Bottom