johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Spika wa bunge Dr Tulia amesema bunge linaanza mkutano wa bajeti wiki ijayo na wanategemea baada ya serikali kuwa imeingia Mikataba mingi ya kilimo ambayo imepitia bungeni basi Bajeti ya kilimo ndio itakuwa kubwa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.