Spika wa bunge Dr Tulia amesema bunge linaanza mkutano wa bajeti wiki ijayo na wanategemea baada ya serikali kuwa imeingia Mikataba mingi ya kilimo ambayo imepitia bungeni basi Bajeti ya kilimo ndio itakuwa kubwa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Wewe umevaa nini hapo ulipo?(Nje ya uzi)
Mfundisheni Spika wenu namna ya kuvaa, huwa anatia aibu hadi akiwa ughaibuni anaonekana kama Mwajuma ndala chafu.
Elimu ijihangaikie yenyeweSpika wa bunge Dr Tulia amesema bunge linaanza mkutano wa bajeti wiki ijayo na wanategemea baada ya serikali kuwa imeingia Mikataba mingi ya kilimo ambayo imepitia bungeni basi Bajeti ya kilimo ndio itakuwa kubwa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Huyu ni Spika wa kitu gani?Spika wa bunge Dr Tulia amesema bunge linaanza mkutano wa bajeti wiki ijayo na wanategemea baada ya serikali kuwa imeingia Mikataba mingi ya kilimo ambayo imepitia bungeni basi Bajeti ya kilimo ndio itakuwa kubwa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Maneno matamu kila mwaka subiri vitendoKama Tanesco tu wanataka 4tri kwa maboresho kilimo kinaongoza vipi? Almost 10% ya budget ya nchi nzima.
Utaishia hivyo hivyoInategemea zitaenda wapi zinaweza kuwa useless tuu
Hawa wana si hasa sio wa kuwaamini kabisa. Bajeti nyingi huwa figures tu lakini hela haziendi so mwishowe zinakuwa budget hewa zisizo tekelezeka.Spika wa bunge Dr Tulia amesema bunge linaanza mkutano wa bajeti wiki ijayo na wanategemea baada ya serikali kuwa imeingia Mikataba mingi ya kilimo ambayo imepitia bungeni basi Bajeti ya kilimo ndio itakuwa kubwa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama.
Akili zipo shida ni njaa imehamia kwenye ubongo..Betina kama kana akili flan hivi