Spika Tulia: Tunategemea Bajeti ya Kilimo ndio itakuwa kubwa mwaka wa fedha ujao


(Nje ya uzi)

Mfundisheni Spika wenu namna ya kuvaa, huwa anatia aibu hadi akiwa ughaibuni anaonekana kama Mwajuma ndala chafu.
 
Kwani bajeti iliyopo huwa inafanya nini kwa wakulima? Watu huwa wanajilimia tu.

Mf Nini kitatokea ikiwa wizara nzima isipofanya kazi? Assume nzige hawajatokea
 
E
Elimu ijihangaikie yenyewe
 
Huyu ni Spika wa kitu gani?
 
Kujikita kwenye kilimo ni mawazo ya kikoloni, saizi tujiwekeze kwenye technology tuwe na viwanda vingi yakuzalisha chuma, kutengeneza magari, simu, meri, ndege na ICT kwa ujumla Sasa sisi kila siku kilimo cha mtama na uwele. Poor poor poor
 
Hawa wana si hasa sio wa kuwaamini kabisa. Bajeti nyingi huwa figures tu lakini hela haziendi so mwishowe zinakuwa budget hewa zisizo tekelezeka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…