Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko

Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Hoja ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ikiwemo watoto imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest kutaka mkakati wa Serikali kukomesha matukio hayo aliyodai baadhi yanahusishwa na vyombo vya dola.

Leo Alhamisi, Agosti 29, 2024, hoja hiyo imeibuka bungeni wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, baada ya Anatropia kusema matukio ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu yanaashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Amesema matukio hayo yamekuwa na sura tofauti tofauti ikiwemo wivu wa mapenzi na ushirikina.“Lakini na matukio mengine ya kutekwa na kupotea kwa watu yanahusishwa na vyombo vya dola. Nataka kufahamu mkakati wa Serikali kuzuia matendo haya lakini kuondoa taharuki ambayo inajitokeza katika jamii,” amesema.

Spika Tulia huku akimtaka Waziri Mkuu kutoa kulisemea jambo hilo kwa udogo sana, amesema "Juzi kama mtakumbuka hapa alisimama Mheshimiwa Aida Kenani, mambo haya yanayohusiana na uchunguzi ukiyasema kwa ujumla kwa haya maneno, utekaji, uaji, leo asubuhi nimesoma kuna mganga amezika sijui watu kumi na ngapi. Sasa huyu Mganga ni Polisi au Vyombo vya Dola ambaye watu wazikwa kwake?"

Ameongeza "Unajua haya mambo yakiwa yanasemwa kwa hisia yanaleta picha fulani hivi. Kwa hiyo kuna mtu mwingine anaweza akawa anahisi labda kuna mtu anaroho mbaya mahali hivi, hajali. Kila mtu anajali kila binadamu ana haki ya kuishi lakini tusiweke yale mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea........kuna watoto si kuna mabasi wanapanda akidondoka chini nyumbani si wanamtafuta? Utasema ni Vyombo vya Dola vimemchukua?"

Ameendelea kusema "Lazima wote tufanye kazi kama viongozi ukichukulia mihemko hautoi nafasi kwa Serikali kufanya kazi yake na wakati huo huo hautoi nafasi kwa jamii kushiriki hili jambo kwani wao watawaza kuna mahali wapo kumbe hawapo sehemu mganga amewazika sehemu. Sisi humu ndani ni Viongozi, tunawakilisha wananchi na tungependa wawe salama. Watu wengine wanahama nchi si tunawapokea hapa, je atasema ni Chombo cha Dola kimewachukua?"

Naye Waziri Mkuu amesema "Tunapoilinda nchi ni wajibu wetu Watanzania wote pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama vyenye jukumu la kupokea taarifa mbalimbali zinazoonesha uvunjifu wa amani popote pale. Na wakishapokea ni kuhskiksha wanafanya uchukuzi na kufikisha kwenye vyombo vya sheria."

Ameongeza "Mheshimiwa Spika nashukuru kwa maneno yako ya msingi ya awali ili kuondoa upotoshaji ambao unaweza kuwa unaendelea na kufanya vyombo vya ulinzi na usalama vishindwe kufanya kazi yake na kuwavunja moyo watu ambao wanafanya kazi saa 24 kwa ajili ya usalama"
 
Hoja ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ikiwemo watoto imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest kutaka mkakati wa Serikali kukomesha matukio hayo aliyodai baadhi yanahusishwa na vyombo vya dola.

Leo Alhamisi, Agosti 29, 2024, hoja hiyo imeibuka bungeni wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, baada ya Anatropia kusema matukio ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu yanaashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Amesema matukio hayo yamekuwa na sura tofauti tofauti ikiwemo wivu wa mapenzi na ushirikina.“Lakini na matukio mengine ya kutekwa na kupotea kwa watu yanahusishwa na vyombo vya dola. Nataka kufahamu mkakati wa Serikali kuzuia matendo haya lakini kuondoa taharuki ambayo inajitokeza katika jamii,” amesema.

Spika Tulia huku akimtaka Waziri Mkuu kutoa kulisemea jambo hilo kwa udogo sana, amesema "Juzi kama mtakumbuka hapa alisimama Mheshimiwa Aida Kenani, mambo haya yanayohusiana na uchunguzi ukiyasema kwa ujumla kwa haya maneno, utekaji, uaji, leo asubuhi nimesoma kuna mganga amezika sijui watu kumi na ngapi. Sasa huyu Mganga ni Polisi au Vyombo vya Dola ambaye watu wazikwa kwake?"

Ameongeza "Unajua haya mambo yakiwa yanasemwa kwa hisia yanaleta picha fulani hivi. Kwa hiyo kuna mtu mwingine anaweza akawa anahisi labda kuna mtu anaroho mbaya mahali hivi, hajali. Kila mtu anajali kila binadamu ana haki ya kuishi lakini tusiweke yale mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea........kuna watoto si kuna mabasi wanapanda akidondoka chini nyumbani si wanamtafuta? Utasema ni Vyombo vya Dola vimemchukua?"

Ameendelea kusema "Lazima wote tufanye kazi kama viongozi ukichukulia mihemko hautoi nafasi kwa Serikali kufanya kazi yake na wakati huo huo hautoi nafasi kwa jamii kushiriki hili jambo kwani wao watawaza kuna mahali wapo kumbe hawapo sehemu mganga amewazika sehemu. Sisi humu ndani ni Viongozi, tunawakilisha wananchi na tungependa wawe salama. Watu wengine wanahama nchi si tunawapokea hapa, je atasema ni Chombo cha Dola kimewachukua?"

Naue Waziri Mkuu amesema "Tunapoilinda nchi ni wajibu wetu Watanzania wote pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama vyenye jukumu la kupokea taarifa mbalimbali zinazoonesha uvunjifu wa amani popote pale. Na wakishapokea ni kuhskiksha wanafanya uchukuzi na kufikisha kwenye vyombo vya sheria."

Ameongeza "Mheshimiwa Spika nashukuru kwa maneno yako ya msingi ya awali ili kuondoa upotoshaji ambao unaweza kuwa unaendelea na kufanya vyombo vya ulinzi na usalama vishindwe kufanya kazi yake na kuwavunja moyo watu ambao wanafanya kazi saa 24 kwa ajili ya usalama"​
Kwahiyo wengine wanapotea kiuchawi? Sasa kazi ya vyombo vya dora ni ipi?
 
Hoja ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ikiwemo watoto imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest kutaka mkakati wa Serikali kukomesha matukio hayo aliyodai baadhi yanahusishwa na vyombo vya dola.

Leo Alhamisi, Agosti 29, 2024, hoja hiyo imeibuka bungeni wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, baada ya Anatropia kusema matukio ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu yanaashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Amesema matukio hayo yamekuwa na sura tofauti tofauti ikiwemo wivu wa mapenzi na ushirikina.“Lakini na matukio mengine ya kutekwa na kupotea kwa watu yanahusishwa na vyombo vya dola. Nataka kufahamu mkakati wa Serikali kuzuia matendo haya lakini kuondoa taharuki ambayo inajitokeza katika jamii,” amesema.

Spika Tulia huku akimtaka Waziri Mkuu kutoa kulisemea jambo hilo kwa udogo sana, amesema "Juzi kama mtakumbuka hapa alisimama Mheshimiwa Aida Kenani, mambo haya yanayohusiana na uchunguzi ukiyasema kwa ujumla kwa haya maneno, utekaji, uaji, leo asubuhi nimesoma kuna mganga amezika sijui watu kumi na ngapi. Sasa huyu Mganga ni Polisi au Vyombo vya Dola ambaye watu wazikwa kwake?"

Ameongeza "Unajua haya mambo yakiwa yanasemwa kwa hisia yanaleta picha fulani hivi. Kwa hiyo kuna mtu mwingine anaweza akawa anahisi labda kuna mtu anaroho mbaya mahali hivi, hajali. Kila mtu anajali kila binadamu ana haki ya kuishi lakini tusiweke yale mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea........kuna watoto si kuna mabasi wanapanda akidondoka chini nyumbani si wanamtafuta? Utasema ni Vyombo vya Dola vimemchukua?"

Ameendelea kusema "Lazima wote tufanye kazi kama viongozi ukichukulia mihemko hautoi nafasi kwa Serikali kufanya kazi yake na wakati huo huo hautoi nafasi kwa jamii kushiriki hili jambo kwani wao watawaza kuna mahali wapo kumbe hawapo sehemu mganga amewazika sehemu. Sisi humu ndani ni Viongozi, tunawakilisha wananchi na tungependa wawe salama. Watu wengine wanahama nchi si tunawapokea hapa, je atasema ni Chombo cha Dola kimewachukua?"

Naue Waziri Mkuu amesema "Tunapoilinda nchi ni wajibu wetu Watanzania wote pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama vyenye jukumu la kupokea taarifa mbalimbali zinazoonesha uvunjifu wa amani popote pale. Na wakishapokea ni kuhskiksha wanafanya uchukuzi na kufikisha kwenye vyombo vya sheria."

Ameongeza "Mheshimiwa Spika nashukuru kwa maneno yako ya msingi ya awali ili kuondoa upotoshaji ambao unaweza kuwa unaendelea na kufanya vyombo vya ulinzi na usalama vishindwe kufanya kazi yake na kuwavunja moyo watu ambao wanafanya kazi saa 24 kwa ajili ya usalama"​
Mh. Waziri Mkuu busara itumike. Vijana hawa wako mikonni mwa polisi. Tumieni busara kuleta mapenzi mema kwa wtu wote msijenge visasi kutokana na matendo kama haya yanayolalamikiwa. tusifike huko, si kuzuri.
 
Hoja ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ikiwemo watoto imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest kutaka mkakati wa Serikali kukomesha matukio hayo aliyodai baadhi yanahusishwa na vyombo vya dola.

Leo Alhamisi, Agosti 29, 2024, hoja hiyo imeibuka bungeni wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, baada ya Anatropia kusema matukio ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu yanaashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Amesema matukio hayo yamekuwa na sura tofauti tofauti ikiwemo wivu wa mapenzi na ushirikina.“Lakini na matukio mengine ya kutekwa na kupotea kwa watu yanahusishwa na vyombo vya dola. Nataka kufahamu mkakati wa Serikali kuzuia matendo haya lakini kuondoa taharuki ambayo inajitokeza katika jamii,” amesema.

Spika Tulia huku akimtaka Waziri Mkuu kutoa kulisemea jambo hilo kwa udogo sana, amesema "Juzi kama mtakumbuka hapa alisimama Mheshimiwa Aida Kenani, mambo haya yanayohusiana na uchunguzi ukiyasema kwa ujumla kwa haya maneno, utekaji, uaji, leo asubuhi nimesoma kuna mganga amezika sijui watu kumi na ngapi. Sasa huyu Mganga ni Polisi au Vyombo vya Dola ambaye watu wazikwa kwake?"

Ameongeza "Unajua haya mambo yakiwa yanasemwa kwa hisia yanaleta picha fulani hivi. Kwa hiyo kuna mtu mwingine anaweza akawa anahisi labda kuna mtu anaroho mbaya mahali hivi, hajali. Kila mtu anajali kila binadamu ana haki ya kuishi lakini tusiweke yale mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea........kuna watoto si kuna mabasi wanapanda akidondoka chini nyumbani si wanamtafuta? Utasema ni Vyombo vya Dola vimemchukua?"

Ameendelea kusema "Lazima wote tufanye kazi kama viongozi ukichukulia mihemko hautoi nafasi kwa Serikali kufanya kazi yake na wakati huo huo hautoi nafasi kwa jamii kushiriki hili jambo kwani wao watawaza kuna mahali wapo kumbe hawapo sehemu mganga amewazika sehemu. Sisi humu ndani ni Viongozi, tunawakilisha wananchi na tungependa wawe salama. Watu wengine wanahama nchi si tunawapokea hapa, je atasema ni Chombo cha Dola kimewachukua?"

Naye Waziri Mkuu amesema "Tunapoilinda nchi ni wajibu wetu Watanzania wote pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama vyenye jukumu la kupokea taarifa mbalimbali zinazoonesha uvunjifu wa amani popote pale. Na wakishapokea ni kuhskiksha wanafanya uchukuzi na kufikisha kwenye vyombo vya sheria."

Ameongeza "Mheshimiwa Spika nashukuru kwa maneno yako ya msingi ya awali ili kuondoa upotoshaji ambao unaweza kuwa unaendelea na kufanya vyombo vya ulinzi na usalama vishindwe kufanya kazi yake na kuwavunja moyo watu ambao wanafanya kazi saa 24 kwa ajili ya usalama"
Njiti anazingua sana, ishu jana iliyoulizwa ni specific kwa vijana waliopokea na kuitikia wito wa polisi na ndiyo wakatekwa na ushahidi upo yeye anataka kuhusisha na upoteaji mwingine tu.
 
Hoja ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ikiwemo watoto imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest kutaka mkakati wa Serikali kukomesha matukio hayo aliyodai baadhi yanahusishwa na vyombo vya dola.

Leo Alhamisi, Agosti 29, 2024, hoja hiyo imeibuka bungeni wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, baada ya Anatropia kusema matukio ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu yanaashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Amesema matukio hayo yamekuwa na sura tofauti tofauti ikiwemo wivu wa mapenzi na ushirikina.“Lakini na matukio mengine ya kutekwa na kupotea kwa watu yanahusishwa na vyombo vya dola. Nataka kufahamu mkakati wa Serikali kuzuia matendo haya lakini kuondoa taharuki ambayo inajitokeza katika jamii,” amesema.

Spika Tulia huku akimtaka Waziri Mkuu kutoa kulisemea jambo hilo kwa udogo sana, amesema "Juzi kama mtakumbuka hapa alisimama Mheshimiwa Aida Kenani, mambo haya yanayohusiana na uchunguzi ukiyasema kwa ujumla kwa haya maneno, utekaji, uaji, leo asubuhi nimesoma kuna mganga amezika sijui watu kumi na ngapi. Sasa huyu Mganga ni Polisi au Vyombo vya Dola ambaye watu wazikwa kwake?"

Ameongeza "Unajua haya mambo yakiwa yanasemwa kwa hisia yanaleta picha fulani hivi. Kwa hiyo kuna mtu mwingine anaweza akawa anahisi labda kuna mtu anaroho mbaya mahali hivi, hajali. Kila mtu anajali kila binadamu ana haki ya kuishi lakini tusiweke yale mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea........kuna watoto si kuna mabasi wanapanda akidondoka chini nyumbani si wanamtafuta? Utasema ni Vyombo vya Dola vimemchukua?"

Ameendelea kusema "Lazima wote tufanye kazi kama viongozi ukichukulia mihemko hautoi nafasi kwa Serikali kufanya kazi yake na wakati huo huo hautoi nafasi kwa jamii kushiriki hili jambo kwani wao watawaza kuna mahali wapo kumbe hawapo sehemu mganga amewazika sehemu. Sisi humu ndani ni Viongozi, tunawakilisha wananchi na tungependa wawe salama. Watu wengine wanahama nchi si tunawapokea hapa, je atasema ni Chombo cha Dola kimewachukua?"

Naye Waziri Mkuu amesema "Tunapoilinda nchi ni wajibu wetu Watanzania wote pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama vyenye jukumu la kupokea taarifa mbalimbali zinazoonesha uvunjifu wa amani popote pale. Na wakishapokea ni kuhskiksha wanafanya uchukuzi na kufikisha kwenye vyombo vya sheria."

Ameongeza "Mheshimiwa Spika nashukuru kwa maneno yako ya msingi ya awali ili kuondoa upotoshaji ambao unaweza kuwa unaendelea na kufanya vyombo vya ulinzi na usalama vishindwe kufanya kazi yake na kuwavunja moyo watu ambao wanafanya kazi saa 24 kwa ajili ya usalama"

Kadhia hii ya kutekwa na hata kuuwawa haiwakuti wamasai wasiomtegemea mtu kuwapa haki zao
 
Ni laana kubwa kwa nchi kuwa na jitu la nama hii, linalotetea maharamia yaliyomo kwenye vyombo vya kulinda usalama lakini yakageuka kuwa maharamua yanayoteka watu wanaokosoa Serikali.

Huyu mtu lazima amebeba roho ya shetani. Watu wametekwa, wamenusurika, wametamka wazi kuwa walitekwa na polisi, wakawekwa kwenye mahabusu za polisi kwa muda, kisha wakahamishiwa kwenye mabanda yaliyopo nyuma ya kituo cha polisi, wakasafirishwa mara Arusha, wakateswa vibaya wakiulizwa eti mtu anayewatuma waikashfu serikali. Halafu jitu moja lililojaa unafiki na ushetani, linataka tuamini kuwa hayo majitu yote yalikuwa ni mganga wa kienyeji!! Tuna bahati mbaya sana, majitu yenye roho za uovu yamepewa mamlaka.

WanMbeya hakikisheni mnajiondoa kuwa sehemu ya jamii iliyochangia kulipatia Taifa majitu yenye roho mbaya.
 
Ni kweli
Maana tuna shuhudia wengine wanagundulika wameuwawa na wapenzi wao wakati awali watu wakijua wametekwa na vyombo vya usalama
 
Atuambie sasa ni nani muhusika kwa hii kadhia.

Na, Je kwanini Polisi wamekuwa kimya na wenye kigugumizi kutupa majibu sahihi.

Je, jitihada zipi zimefanyika kuzobiti haya matukio na kuwakamata hao waalifu.
 
Hoja ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ikiwemo watoto imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest kutaka mkakati wa Serikali kukomesha matukio hayo aliyodai baadhi yanahusishwa na vyombo vya dola.

Leo Alhamisi, Agosti 29, 2024, hoja hiyo imeibuka bungeni wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, baada ya Anatropia kusema matukio ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu yanaashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Amesema matukio hayo yamekuwa na sura tofauti tofauti ikiwemo wivu wa mapenzi na ushirikina.“Lakini na matukio mengine ya kutekwa na kupotea kwa watu yanahusishwa na vyombo vya dola. Nataka kufahamu mkakati wa Serikali kuzuia matendo haya lakini kuondoa taharuki ambayo inajitokeza katika jamii,” amesema.

Spika Tulia huku akimtaka Waziri Mkuu kutoa kulisemea jambo hilo kwa udogo sana, amesema "Juzi kama mtakumbuka hapa alisimama Mheshimiwa Aida Kenani, mambo haya yanayohusiana na uchunguzi ukiyasema kwa ujumla kwa haya maneno, utekaji, uaji, leo asubuhi nimesoma kuna mganga amezika sijui watu kumi na ngapi. Sasa huyu Mganga ni Polisi au Vyombo vya Dola ambaye watu wazikwa kwake?"

Ameongeza "Unajua haya mambo yakiwa yanasemwa kwa hisia yanaleta picha fulani hivi. Kwa hiyo kuna mtu mwingine anaweza akawa anahisi labda kuna mtu anaroho mbaya mahali hivi, hajali. Kila mtu anajali kila binadamu ana haki ya kuishi lakini tusiweke yale mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea........kuna watoto si kuna mabasi wanapanda akidondoka chini nyumbani si wanamtafuta? Utasema ni Vyombo vya Dola vimemchukua?"

Ameendelea kusema "Lazima wote tufanye kazi kama viongozi ukichukulia mihemko hautoi nafasi kwa Serikali kufanya kazi yake na wakati huo huo hautoi nafasi kwa jamii kushiriki hili jambo kwani wao watawaza kuna mahali wapo kumbe hawapo sehemu mganga amewazika sehemu. Sisi humu ndani ni Viongozi, tunawakilisha wananchi na tungependa wawe salama. Watu wengine wanahama nchi si tunawapokea hapa, je atasema ni Chombo cha Dola kimewachukua?"

Naye Waziri Mkuu amesema "Tunapoilinda nchi ni wajibu wetu Watanzania wote pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama vyenye jukumu la kupokea taarifa mbalimbali zinazoonesha uvunjifu wa amani popote pale. Na wakishapokea ni kuhskiksha wanafanya uchukuzi na kufikisha kwenye vyombo vya sheria."

Ameongeza "Mheshimiwa Spika nashukuru kwa maneno yako ya msingi ya awali ili kuondoa upotoshaji ambao unaweza kuwa unaendelea na kufanya vyombo vya ulinzi na usalama vishindwe kufanya kazi yake na kuwavunja moyo watu ambao wanafanya kazi saa 24 kwa ajili ya usalama"
 
Hoja ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ikiwemo watoto imeibuka tena bungeni baada ya Mbunge wa Viti Maalumu, Anatropia Theonest kutaka mkakati wa Serikali kukomesha matukio hayo aliyodai baadhi yanahusishwa na vyombo vya dola.

Leo Alhamisi, Agosti 29, 2024, hoja hiyo imeibuka bungeni wakati wa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu, baada ya Anatropia kusema matukio ya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu yanaashiria uvunjifu wa haki za binadamu.

Amesema matukio hayo yamekuwa na sura tofauti tofauti ikiwemo wivu wa mapenzi na ushirikina.“Lakini na matukio mengine ya kutekwa na kupotea kwa watu yanahusishwa na vyombo vya dola. Nataka kufahamu mkakati wa Serikali kuzuia matendo haya lakini kuondoa taharuki ambayo inajitokeza katika jamii,” amesema.

Spika Tulia huku akimtaka Waziri Mkuu kutoa kulisemea jambo hilo kwa udogo sana, amesema "Juzi kama mtakumbuka hapa alisimama Mheshimiwa Aida Kenani, mambo haya yanayohusiana na uchunguzi ukiyasema kwa ujumla kwa haya maneno, utekaji, uaji, leo asubuhi nimesoma kuna mganga amezika sijui watu kumi na ngapi. Sasa huyu Mganga ni Polisi au Vyombo vya Dola ambaye watu wazikwa kwake?"

Ameongeza "Unajua haya mambo yakiwa yanasemwa kwa hisia yanaleta picha fulani hivi. Kwa hiyo kuna mtu mwingine anaweza akawa anahisi labda kuna mtu anaroho mbaya mahali hivi, hajali. Kila mtu anajali kila binadamu ana haki ya kuishi lakini tusiweke yale mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea........kuna watoto si kuna mabasi wanapanda akidondoka chini nyumbani si wanamtafuta? Utasema ni Vyombo vya Dola vimemchukua?"

Ameendelea kusema "Lazima wote tufanye kazi kama viongozi ukichukulia mihemko hautoi nafasi kwa Serikali kufanya kazi yake na wakati huo huo hautoi nafasi kwa jamii kushiriki hili jambo kwani wao watawaza kuna mahali wapo kumbe hawapo sehemu mganga amewazika sehemu. Sisi humu ndani ni Viongozi, tunawakilisha wananchi na tungependa wawe salama. Watu wengine wanahama nchi si tunawapokea hapa, je atasema ni Chombo cha Dola kimewachukua?"

Naye Waziri Mkuu amesema "Tunapoilinda nchi ni wajibu wetu Watanzania wote pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama vyenye jukumu la kupokea taarifa mbalimbali zinazoonesha uvunjifu wa amani popote pale. Na wakishapokea ni kuhskiksha wanafanya uchukuzi na kufikisha kwenye vyombo vya sheria."

Ameongeza "Mheshimiwa Spika nashukuru kwa maneno yako ya msingi ya awali ili kuondoa upotoshaji ambao unaweza kuwa unaendelea na kufanya vyombo vya ulinzi na usalama vishindwe kufanya kazi yake na kuwavunja moyo watu ambao wanafanya kazi saa 24 kwa ajili ya usalama"
Hawa akili itarudi viongozi wa CCM wakianza kuuliiwa kwa kisasi...wasidhani upande unateswa na vyombo vya doa kwa maelekezo ya CCM wataendelea kuwa kondoo tu sku zote. Wakiendelea hivihivi kujifanya kujizima data ipo siku watalilia damu ya jamaa zao.
 
wakati mwingine mawazo ya kishetani yanakuijia na kutamani watoto wa hawa wanao tetea huu udharimu basi nao wapotee kimya kimya tusikie watasema nini
 
Back
Top Bottom