Spika Tulia, usijaribu kupindisha point ya Luhaga Mpina

Spika Tulia, usijaribu kupindisha point ya Luhaga Mpina

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Mh. Spika, kwa nini unataka kumlinda mwizi kwa kumfunga aliyetoa taarifa za wizi?
Watanzania wa sasa wana akili na wanaelewa unachotaka kukifanya.

Tunataka kwanza hoja za Mpina zijibiwe barabara ndipo uje na hizo hoja zako dhaifu dhidi ya Mpina.
 
Ninacho kiona hapa ni mwenye mamlaka anaelekea kumuadhibu mtoa taarifa wakati mtoa taarifa ameleta hadi vithibitisho kuhusu mtuhumiwa.
Hii ndio bongo nyoso....
 

Attachments

  • de71fd5c-415b-4735-9aed-9f6ee8fca8e9.jpg
    de71fd5c-415b-4735-9aed-9f6ee8fca8e9.jpg
    64.3 KB · Views: 4
Ninacho kiona hapa ni mwenye mamlaka anaelekea kumuadhibu mtoa taarifa wakati mtoa taarifa ameleta hadi vithibitisho kuhusu mtuhumiwa.
Hii ndio bongo nyoso....
Wana jeuri ya kufanya hivyo kwa sababu wanajua wananchi tumelala fofofo tukibishana mambo ya gabachori yupi anafaa kuongoza timu ya Simba.
 
Tukiletewa ya Eura ya Mumewe na Spika ndiyo mtajua uchafu wa Nchi yetu
Shabby alijaribu kutusanuwa naona kakatiwa kitu kidogo katulia tuli
 
Huyo analiwa kichwa, na 2025 anakatwa, na hatarudi Bungeni, akamuulize Lucas Sellelii
 
Mh. Spika, kwa nini unataka kumlinda mwizi kwa kumfunga aliyetoa taarifa za wizi?
Watanzania wa sasa wana akili na wanaelewa unachotaka kukifanya.

Tunataka kwanza hoja za Mpina zijibiwe barabara ndipo uje na hizo hoja zako dhaifu dhidi ya Mpina.
ukiwa kidamba kama wewe hujui vita vya uchumi wala usipoteze muda wako humu huyo mpina mnamuona katoa nondo za uhakika kuna watu matajiri wenye biashara yao ya sukari ndiyo wanamtumia we kaa tu hapo na shibe yako ya kunde unajamba hovyo halafu uanakuja kuandika humu
 
Pesa zinalika na walaji wanateteana, baadae utaskia TOZO na wakurugenzi kuwalazimisha walimu watoe pesa ya MWENGE ha ha ha ha 😂 😂
 
Mh. Spika, kwa nini unataka kumlinda mwizi kwa kumfunga aliyetoa taarifa za wizi?
Watanzania wa sasa wana akili na wanaelewa unachotaka kukifanya.

Tunataka kwanza hoja za Mpina zijibiwe barabara ndipo uje na hizo hoja zako dhaifu dhidi ya Mpina.
Na akimfungia tu kuhudhuria vikao vya bunge kwa lengo la kufanya Mpina akose chochote kitu,sisi wananchi naomba tumchangie mh Mpina.
 
Ninacho kiona hapa ni mwenye mamlaka anaelekea kumuadhibu mtoa taarifa wakati mtoa taarifa ameleta hadi vithibitisho kuhusu mtuhumiwa.
Hii ndio bongo nyoso....
wacha kamati iangalie je kama visibitisho siyo vya kweli unamwamini vipi mpina mpima samaki na ruler
 
Kwa ufupi "walaji" tayari "wameshalimaliza" kumuhujumu Mpina badala ya kujadili hoja yake kuhusu ujambazi wa makada wake!
 
Haiwezekeni bashe na wenzie wachache mnawatetea wakati wao wanamitaji mikubwa lakini sisi na tukilo twetu 400 tunduma tunapitia kama tumebeba bangi pumbavu kabisa.......
 
Back
Top Bottom