ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Kwa hiyo hata kama wanamtumia je aliyo yaleta ni uongo ?Hebu ww tupe ukweli .ukiwa kidamba kama wewe hujui vita vya uchumi wala usipoteze muda wako humu huyo mpina mnamuona katoa nondo za uhakika kuna watu matajiri wenye biashara yao ya sukari ndiyo wanamtumia we kaa tu hapo na shibe yako ya kunde unajamba hovyo halafu uanakuja kuandika humu
Welcome to bongo buana, badala ya kushughulikiw taarifa watashighulika na mtu halaf kesi itapotezewaNinacho kiona hapa ni mwenye mamlaka anaelekea kumuadhibu mtoa taarifa wakati mtoa taarifa ameleta hadi vithibitisho kuhusu mtuhumiwa.
Hii ndio bongo nyoso....
Mpuuze huyo, kwani mtu akitumwa kusema ukweli shida iko wapi?Kwa hiyo hata kama wanamtumia je aliyo yaleta ni uongo ?Hebu ww tupe ukweli .
Unatupangia jinsi ya kuelewa? Wewe Fala nini? Unayelamba matako ya Msomali ni wewe na wapuuzi wenzio usidhani Kila Mtu anakula Kwa Wasomali.ukiwa kidamba kama wewe hujui vita vya uchumi wala usipoteze muda wako humu huyo mpina mnamuona katoa nondo za uhakika kuna watu matajiri wenye biashara yao ya sukari ndiyo wanamtumia we kaa tu hapo na shibe yako ya kunde unajamba hovyo halafu uanakuja kuandika humu