Spika wa Bunge Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF

Spika wa Bunge Akutana na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF


SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF

Na MWANDISHI WETU,

Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), baada ya kuhitimisha Bunge Jijini Dodoma, tarehe 28 Juni, 2024.

Mazungumzo hayo yalihusu utaratibu wa ulipaji mafao ambao NSSF imeendelea kuuboresha kupitia mifumo ya TEHAMA. Aidha, Bw. Mshomba ameelezea maandalizi ya ulipaji mafao kwa kuzingatia maboresho ya kanuni ya kikokotoo, na ameipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kujali maslahi ya watanzania.

Pamoja na hayo, Bw. Mshomba alitumia fursa hiyo kumpongeza Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa kuhitimisha Bunge la Bajeti kwa mafanikio makubwa.

View attachment 3028642View attachment 3028643
Wale wale mediocrity ambao hawawezi kututoa hapa tulipokwama

Ukimuuliza masteplan ya nssf 50 years to come hana majibu
 
Siku za karibuni kumekuwa na msukumo na nguvu kubwa imetumika kuangalia upya kikokotoo ila hakuna anayezungumzia fao la kujitoa, huu ni usaliti mkubwa sana kwa wafanyakazi wa sekta binafsi
Hili FAO la kujitoa limekuwa kilio cha wengi aisee, serikali yetu hii ya wachumia tumbo haina nia ya dhati kabisa na watu wake.
 

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF

Na MWANDISHI WETU,

Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), baada ya kuhitimisha Bunge Jijini Dodoma, tarehe 28 Juni, 2024.

Mazungumzo hayo yalihusu utaratibu wa ulipaji mafao ambao NSSF imeendelea kuuboresha kupitia mifumo ya TEHAMA. Aidha, Bw. Mshomba ameelezea maandalizi ya ulipaji mafao kwa kuzingatia maboresho ya kanuni ya kikokotoo, na ameipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kujali maslahi ya watanzania.

Pamoja na hayo, Bw. Mshomba alitumia fursa hiyo kumpongeza Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa kuhitimisha Bunge la Bajeti kwa mafanikio makubwa.

View attachment 3028642View attachment 3028643
Labda anataka mkopo MAANA ndo hivyo
 

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF

Na MWANDISHI WETU,

Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Masha Mshomba, Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), baada ya kuhitimisha Bunge Jijini Dodoma, tarehe 28 Juni, 2024.

Mazungumzo hayo yalihusu utaratibu wa ulipaji mafao ambao NSSF imeendelea kuuboresha kupitia mifumo ya TEHAMA. Aidha, Bw. Mshomba ameelezea maandalizi ya ulipaji mafao kwa kuzingatia maboresho ya kanuni ya kikokotoo, na ameipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya Uongozi wa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kujali maslahi ya watanzania.

Pamoja na hayo, Bw. Mshomba alitumia fursa hiyo kumpongeza Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa kuhitimisha Bunge la Bajeti kwa mafanikio makubwa.

View attachment 3028642View attachment 3028643
SPika wa Bunge ni mtendaji wa Serikali?
 
Ukute ni mumewe.

Hebu mwambieni huyo madame aongeze mwili kidogo kule kwetu hatupo hivyo.
Nahisi uko sana nje ya Mada, hii inahusiana vipi na Mada? nyie ndio wale waandishi wa Habri wanakutana na Raisi badala wamuulize maswali magumu wanaanza kumwambia Mh umependeza sana. Wabongo tuna safari ndefu sana Mungu tusaidie.
 
Back
Top Bottom