Jiwe ndo aliingiza hayo manyumbu bungeni..ndo mana kila anayenyanyuka ni kusifu mana kila mmoja anawaza uteuzi , ujinga kabisa..hakuna hoja kinzani , speaker Naye ni msemaji wa serikaliKama Magu ni WA kulaumiwa ktk hili iweje Betina awe PROMOTED Badala ya kuwa DEMOTED.
Ndugu tumieni akili zenu vizuri kufikiri. Msikariri kama Nyumbu๐ ๐ ๐ ๐
Tupambanie KATIBA mpya itutoe ktk mkwamo huu.Jiwe ndo aliingiza hayo manyumbu bungeni..ndo mana kila anayenyanyuka ni kusifu mana kila mmoja anawaza uteuzi , ujinga kabisa..hakuna hoja kinzani , speaker Naye ni msemaji wa serikali
Kama tatizo ni waliomo mjengoni hawana uwezo, aliepo anayo mamlaka kuchagua nje ya Bunge kupata mawaziri wazuri.Jiwe ndo aliingiza hayo manyumbu bungeni..ndo mana kila anayenyanyuka ni kusifu mana kila mmoja anawaza uteuzi , ujinga kabisa..hakuna hoja kinzani , speaker Naye ni msemaji wa serikali
Mi nipo Kijijini Rubambangwe, Chato!Naona spika umekasirika kwelikweli
Inasikitisha sana kuona mtoa mada ni mmoja wa mazezeta yaliokubali kutawaliwa kiakili na kimwili na Kenya. Hivi hauwezi kuandika hoja yako ikaeleweka bila kuishirikisha Kenya. Mbona wakenya huwa hawatolei mifano kwa Tanzania?
Nyinyi ndio mnawafanya wakenya waendelea kujipa matumaini, na kuamini kuwa bado kuna mandondocha yanayowaabudu wao tu kama taifa la Mungu humu mitandaoni.
Mgeni unaanza kutukana kaka zako,embu tulia alafu rudia kusoma mtoa mada ametoa mifano nchi mbili ndani ya EAC,Pili kinachofanyika ni ukweli mshabiki kawa mchambuzi unategemea nini?Inasikitisha sana kuona mtoa mada ni mmoja wa mazezeta yaliokubali kutawaliwa kiakili na kimwili na Kenya. Hivi hauwezi kuandika hoja yako ikaeleweka bila kuishirikisha Kenya. Mbona wakenya huwa hawatolei mifano kwa Tanzania?
Nyinyi ndio mnawafanya wakenya waendelea kujipa matumaini, na kuamini kuwa bado kuna mandondocha yanayowaabudu wao tu kama taifa la Mungu humu mitandaoni.