Spika wa Bunge la Marekani akataa mwaliko wa Zelensky kutembelea Ukraine

Obama alipambania sana OBAMA CARE..akafail...gharama za matibabu ziko juu sana...ndo maana Obama alikuja na hiyo programme...Homelesness pia ..Kwa nini kama wanahela za kuchezea hivyo wasilipie wananchi wao huduma za afya bure pamoja na kuwawezesha wote kuwa na nyumba....My point is...US ni super capitalists.....Watu kwenye hii vita wanatengeneza faida ya kutosha....NA KUNA WAMAREKANIN wanakula nyasi..wamechoka mbaya..
 
Umasikini hawezi kuisha kwa kuwagawia watu pesa au kuwajengea nyumba, hiyo sio njia endelevu na ya kudumu kumaliza umasikini.
 
Sasa hili deni linalipwaje? Daah teh teh
Wale wakimaliza watajenga miji yao kwa kasi na kuwa mizuri zaidi na watapambana kufukia ma gape yote kwa kipindi kifupi wanaujua uongozi vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…