Spika wa Bunge la Marekani awasili Taiwan kwa ndege ya Kijeshi, Urusi yadai ni uchochezi

Spika wa Bunge la Marekani awasili Taiwan kwa ndege ya Kijeshi, Urusi yadai ni uchochezi

China Mch
Licha ya vitisho kutoka kwa China, Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi amewasili katika Kisiwa cha Taiwan.

Amewasili kwa kutumia ndege ya Jeshi ambayo ilitokea Malaysia alipokuwa katika ziara kisha kutumia njia ndefu ili kuikwepa bahari ya Kusini ya China.

Aidha, Urusi imeshutumu ziara hiyo kuiita kama sehemu ya uchochezi. Msemaji wa Ikulu ya Urusi, Kremlin Dmitry Peskov amesema ziara inaongeza mvutano baina ya China na Taiwan.

China inaichukulia Taiwan kama sehemu ya himaya yake, na imekuwa ikitoa onyo mara kwa mara kwamba inaitafsiri ziara ya Pelosi katika kisiwa hicho kama uchochezi wa Marekani.

==========

US House Speaker Nancy Pelosi lands in Taiwan amid threats of Chinese retaliation


US House Speaker Nancy Pelosi landed in Taipei on Tuesday, marking a significant show of support for Taiwan despite China's threats of retaliation over the visit.

Pelosi's stop in Taipei is the first time that a US House speaker has visited Taiwan in 25 years. Her trip comes at a low point in US-China relations and despite warnings from the Biden administration against a stop in Taiwan.

Pelosi and the congressional delegation that accompanied her said in a statement on Tuesday that the visit "honors America's unwavering commitment to supporting Taiwan's vibrant democracy."

"Our discussions with Taiwan leadership will focus on reaffirming our support for our partner and on promoting our shared interests, including advancing a free and open Indo-Pacific region," the statement said. "America's solidarity with the 23 million people of Taiwan is more important today than ever, as the world faces a choice between autocracy and democracy."

China responded by announcing military exercises and with bellicose rhetoric warning that the speaker's visit "has a severe impact on the political foundation of China-U.S. relations, and seriously infringes upon China's sovereignty and territorial integrity."

"It gravely undermines peace and stability across the Taiwan Strait, and sends a seriously wrong signal to the separatist forces for 'Taiwan independence,' " China's Ministry of Foreign Affairs said in a statement. "China firmly opposes and sternly condemns this, and has made serious démarche and strong protest to the United States."

China's military said it was on "high alert" and would conduct exercises around Taiwan in response to Pelosi's trip, saying in statements it was launching a series "targeted military operations to counteract the situation."

Taiwan's Ministry of National Defense said that 21 Chinese warplanes made incursions into its air defense identification zone (ADIZ) on Tuesday. In response, the Taiwanese military issued radio warnings and deployed air defense missile systems to monitor the activities, it added.

China frequently sends warplanes into Taiwan's self-declared ADIZ. The highest number of incursions ever recorded was on October 4 last year, when 56 military planes flew into the area on the same day. An ADIZ is unilaterally imposed and distinct from sovereign airspace, which is defined under international law as extending 12 nautical miles from a territory's shoreline.

Source: CNN
China mchumba tu mbele ya US
 
Cheo cha Jenerali kwa mfumo w jeshi la Urusi ni cheo cja kawaida sana. Ni cheo kidogo kama unavyoiona MP kwa huku kwetu.
Acha upuuzi wewe, umeshaona wapi Jenerali wa jeshi akawa mtu mdogo?
1659590716657.png

Major General Vitaly Gerasimov, the first deputy commander of Russia's 41st army( Mtu mdogo huyu?)
1659590814348.png

watu wadogo hawa?
 
Cheo cha Jenerali kwa mfumo w jeshi la Urusi ni cheo cja kawaida sana. Ni cheo kidogo kama unavyoiona MP kwa huku kwetu.
Marshals and Generals
Marshal of the Soviet Union Marshal Sovetshiy Soyuza
Supreme Marshal Glavniy Marshal
Marshal Marshal
General of the Army General Armii
Colonel General General-Polkovnik
Lieutenant General Generalleytnant
Major General Generalmajor
Senior Field Officers
Colonel Polkovnik
Sub-Colonel
Lieutenant Colonel
Podpolkovnik
Polkovnik Leytnant
Major Major
Junior Field Officers
Captain Kapitan
Senior Lieutenant Starshiy Leytnant
Lieutenant Leytnant
Junior Lieutenant Mladshiy Leytnant
Officer cadets Kursant
Warrant Officers
Senior Warrant officer Starshiy Praporshchik
Warrant Officer Praporshchik
Junior Warrant officer Mladshij praporschik
Sergeants
Sergeant-Major
Master Sergeant
Starshina
Senior Sergeant Serzhant
Sergeant Serzhant
Lance-Sergeant Mladshiy Serzhant
Soldiers
Private 01st Class CorporalYefreytor
Private Ryadovoy
Krasnoarmeyets
ANGALIA MUUNDO WA RANKING ZA JESHI LA RUSSIA.
 
Alivyopewa Ulinzi wa anga na kwenye maji
 
Shujaa Nancy Pelosi ndo kaingia Taiwan sasa huyo Mchina na dada yake Urusi watafanya nini?

China alisema akikanyaga tu Taiwan anauwasha moto lakini story imebadilika tena kwamba akiondoka ndo China itaanza mazoezi ya kijeshi.

Kichekesho cha karne ya 21 hiki. Yaani mkubwa aondoke kwanza ndo mazoezi yafanyike. [emoji38][emoji38][emoji38]
Haahahahaahauahha mkuu umesahau marekani ndio alfa na omega duniani
 
Back
Top Bottom