USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Spika wa bunge la Marekani anasema watapiga kura kumuondoa Rais mgonjwa kwa mujibu wa katiba baada ya chama chake kumuona ni mgonjwa inamaanisha kuwa hata kumalizia muda sio sahihi
Mwanadamu haridhiki kabisa walimtaka asigombee amalizie ingwe yake na amekubali sasa hawataki hata kumalizia miezi iliyobakia ,wanasema aondoke
Spika wa bunge la Marekani amesema kuwa Biden hafai hata kupewa muda kwa kuwa akili yake haipo sawa kuongoza katika kipindi cha miezi iliyobaki na bunge litapiga kura kumuondoa kwa kuwa katiba inaruhusu rais mwenye akili timamu kuongoza
USSR
b
Mwanadamu haridhiki kabisa walimtaka asigombee amalizie ingwe yake na amekubali sasa hawataki hata kumalizia miezi iliyobakia ,wanasema aondoke
Spika wa bunge la Marekani amesema kuwa Biden hafai hata kupewa muda kwa kuwa akili yake haipo sawa kuongoza katika kipindi cha miezi iliyobaki na bunge litapiga kura kumuondoa kwa kuwa katiba inaruhusu rais mwenye akili timamu kuongoza
USSR