Ha ha ha haaaa. Ni hatareeeSisi wakwetu kaamuru madini yachimbwe kwenye mbuga za wanyama.
Biden, aliwashutumu mno Barack Obama, Hilary na Nancy Pelosi baada ya kufeli kwa uchaguzi wa 2016, japo yeye alijitoa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais kupitia Democratic na kumuachia Hilary.Spika wa bunge la Marekani anasema watapiga kura kumuondoa Rais mgonjwa kwa mujibu wa katiba baada ya chama chake kumuona ni mgonjwa inamaanisha kuwa hata kumalizia muda sio sahihi
Mwanadamu haridhiki kabisa walimtaka asigombee amalizie ingwe yake na amekubali sasa hawataki hata kumalizia miezi iliyobakia ,wanasema aondoke
Spika wa bunge la Marekani amesema kuwa Biden hafai hata kupewa muda kwa kuwa akili yake haipo sawa kuongoza katika kipindi cha miezi iliyobaki na bunge litapiga kura kumuondoa kwa kuwa katiba inaruhusu rais mwenye akili timamu kuongoza
USSR
View attachment 3048218b
Obama aliamuwa kwenda na Clinton kwenye ile uchaguzi.Biden, aliwashutumu mno Barack Obama, Hilary na Nancy Pelosi baada ya kufeli kwa uchaguzi wa 2016, japo yeye alijitoa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea Urais kupitia Democratic na kumuachia Hilary.
Mambo si mambo upande wa Democrats
Spika wa bunge la Marekani anasema watapiga kura kumuondoa Rais mgonjwa kwa mujibu wa katiba baada ya chama chake kumuona ni mgonjwa inamaanisha kuwa hata kumalizia muda sio sahihi
Mwanadamu haridhiki kabisa walimtaka asigombee amalizie ingwe yake na amekubali sasa hawataki hata kumalizia miezi iliyobakia ,wanasema aondoke
Spika wa bunge la Marekani amesema kuwa Biden hafai hata kupewa muda kwa kuwa akili yake haipo sawa kuongoza katika kipindi cha miezi iliyobaki na bunge litapiga kura kumuondoa kwa kuwa katiba inaruhusu rais mwenye akili timamu kuongoza
USSR
View attachment 3048218b
Mh!! Article 25?? Au una maanisha 25th Amendment iliyokuwa ratified 1967?They want to invoke article 25😀
Ila haitafanya kazi. Hata barua yake ya kujiondoa kwenye ugombea, alisema ni kwa maslahi ya chama chake na Taifa. Kwamba anataka kishinde.
Hiyo haina maana kwamba yeye binafsi hawezi kuongoza.
Naona Republicans wamesha panic
Hivi huyo kilaza wetu ndio kasema hivyo?Sisi wakwetu kaamuru madini yachimbwe kwenye mbuga za wanyama.
Umepitwa na mengi mkuu.Hivi huyo kilaza wetu ndio kasema hivyo?
Hii ni kweli mkuu maana nasikia tetesi tu..Sisi wakwetu kaamuru madini yachimbwe kwenye mbuga za wanyama.
Yule mzee hata sahau kile kichambooSpika wetu alisema nchi ina uzwa akachambwa na Rais.. imagine nchi ina ongozwa na mchambaji