Pre GE2025 Spika wa Bunge la Wananchi Selestine Simba atangaza kumuunga mkono Lissu huku akitangaza kugombea Uenyekiti BAWACHA Taifa ili kujenga CHADEMA mpya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ayatollah khemenei kaguta nkurunzinza mbowe πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Mbowe kuepuka aibu hata kama amepokea hizo hela kutoka kwa Samia, hajachelewa
kuficha aibu yake kwa kujitoa kwenye kugombea!!
Kama watu wake wa karibu wakina Lema wanamshauri asigombee
kwanini hasikii? Kweli wahenga walisema SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA😳😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…