chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Ni baada ya kamanda masatu na mwakibinga kuondolewa jana kwa escort ya polisi Leo kamanda Messanga Thobias, anayesoma sheria mwaka wa tatu(spika wa bunge).
Kaondolewa kwa ulinzi mkali na mizigo yake ili asitoe tamko baada ya kuvujishwa taarifa na wanafunzi vibaraka Usijari mdogo wangu mesanga natambua mchango wako udom, utasoma tu
Hawa wanavyuo mbona waoga!!!wachome moto defender moja hapo
polis wamemwagwa wengi mkuu zaid ya 500
Napenda sana watu wakae kwa amani chuo nikimaanisha wapewe stahiki zao kama fedha za matumizi ambayo ni mikopo yao halali waliyokubaliana na bodi ya elimu ya juu.
NINA SWALI MOJA TU
Hii tabia ya kuitana makamanda wakati mko kwenye taasisi ya elimu mnaamaanisha nini au vijana wenzangu mnatumika kisiasa badala ya kusoma?
Chuo sio sehemu ya kuweka siasa maana mwisho wake hua sio mzuri, wanachuo mdai chenu ila msiingize chama cha siasa wala dalili za siasa kwenye masomo.
ndo wameshafukuzwa chuo hao
Napenda sana watu wakae kwa amani chuo nikimaanisha wapewe stahiki zao kama fedha za matumizi ambayo ni mikopo yao halali waliyokubaliana na bodi ya elimu ya juu.
NINA SWALI MOJA TU
Hii tabia ya kuitana makamanda wakati mko kwenye taasisi ya elimu mnaamaanisha nini au vijana wenzangu mnatumika kisiasa badala ya kusoma?
Chuo sio sehemu ya kuweka siasa maana mwisho wake hua sio mzuri, wanachuo mdai chenu ila msiingize chama cha siasa wala dalili za siasa kwenye masomo.
wakienda mahakamani wanarudishwa hao, kama kuna wabunge wa mahakama kitashindikana nini kuwa na wanafunzi wa mahakama.
acheni woga wao 500 nyie maelfu hivi mkigawana watu 20 askali mmoja hamuwezi