chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,694
- 4,954
Ni baada ya kamanda masatu na mwakibinga kuondolewa jana kwa escort ya polisi Leo kamanda Messanga Thobias, anayesoma sheria mwaka wa tatu(spika wa bunge).
Kaondolewa kwa ulinzi mkali na mizigo yake ili asitoe tamko baada ya kuvujishwa taarifa na wanafunzi vibaraka Usijari mdogo wangu mesanga natambua mchango wako udom, utasoma tu
Kaondolewa kwa ulinzi mkali na mizigo yake ili asitoe tamko baada ya kuvujishwa taarifa na wanafunzi vibaraka Usijari mdogo wangu mesanga natambua mchango wako udom, utasoma tu