spika wa serikali ya wanafunzi udom amedisco

spika wa serikali ya wanafunzi udom amedisco

Atakuwa alikuwa na bifu na prof mmoja, akala kichwa. Ajipange kivingine, maisha hayana uhusiano na digrii bwana
 
Huyu kijana ambaye alikuwa naibu spika serikali iliyotoka madarakanu anayejulikana kwa jina la azizi chavuranda kama sijakosea.
Zaidi ya wiki sasa namuona kwao dsm wakati wenzake wanaendelea na masomo sasa leo nimekutana na best angu ni mfanyakazi pale udom ananiambia dogo amedsco chuo

My take
Vijana mkiwa chuo msome muachane na siasa zisizo na msingi sasa dogo miaka yote mitatu amepoteza bure

Nafikiri una lingine, kama ni hilo hilo wewe ni zero kabisa! Na inaonekana hujasoma sijui na sifa ya ku-disco umeitolea wapi!
 
Haitusaidii kitu ila ulicho kiandika apo ni udhalilishaji

hivi ingekuwa ume andikwa wewe kama hivi unge jiskiaje??
 
Back
Top Bottom