mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Nenda kampokeee zuchuDogo kapiga kelele nyingi lkn hakuna hata point moja aliyoongea, jenzii wanaandamana na kuharibu nchi Yao kwa faida ya mahasimu ya Ruto, Hao Hao mahasimu wa Ruto hata wakishika kiti Bado hawatawaletea ugali mezani, jenzii wa kenya ni kizazi cha nyoka kilicholaaniwa na hakina adabu.
Ova