Digital Ticha
Senior Member
- Jun 16, 2023
- 110
- 169
Habari wana jukwaa,
Nimeandaa miradi miwili ya usalama barabarani. Mmoja unahusu bodaboda na mwingine unahusu watoto walio shuleni [shule za msingi]. Inaohusu zaidi elimu ya usalama barabarani na pia ya afya na ujasiriamali kwa bodabodaz.
Natafuta mtu, taasisi au kampuni inayoweza kutusaidia kupata donor wa kusaidia moja kati ya miradi yetu tuliyoiandaa. Nimejaribu kuwatafuta TotalEnergy ila hawajanipa.
Naomba mwenye kufahamu wapi naweza kupata msaada au mwenye wazo lolote la kunijenga nakaribisha.
Natanguliza shukran,
DT
Nimeandaa miradi miwili ya usalama barabarani. Mmoja unahusu bodaboda na mwingine unahusu watoto walio shuleni [shule za msingi]. Inaohusu zaidi elimu ya usalama barabarani na pia ya afya na ujasiriamali kwa bodabodaz.
Natafuta mtu, taasisi au kampuni inayoweza kutusaidia kupata donor wa kusaidia moja kati ya miradi yetu tuliyoiandaa. Nimejaribu kuwatafuta TotalEnergy ila hawajanipa.
Naomba mwenye kufahamu wapi naweza kupata msaada au mwenye wazo lolote la kunijenga nakaribisha.
Natanguliza shukran,
DT