Habari wana jamii, hopefully ni wazima, mgonjwa Mungu akuponye haraka, mi mgeni humu ni budi kusema hodi, nauliza km kuna anayefahamu mtu binafsi au taasisi inayotoa ufadhili wa masomo nje ya nchi, nimepata chuo nje ya nchi kusoma masters but sina mfadhili wa kuniwezesha, naomba mnisaidie link za hawa wtu, asnteni!