Dupe
JF-Expert Member
- Jan 21, 2013
- 1,668
- 811
Kwa upande wangu licha ya Azam Tv kuwa watu wazur katika uchambuz katika kipindichao cha michezo (Sport@8) kama Jeff, Edo Kumwembe, Kitambi etc lakin naona bado hawajafanikiwa kuishusha Sports Bar ya Clouds Tv yenye watu kama Dauda, Alex Mwambano na Edgar kibwana ambao huwa wanazama in deep zaid katika kufuatilia mambo ya kimichezo kiundani zaid.
Nawapongeza Sport Extra kwa kazi mzr sana, labda wadau wenzangu munasemaje wapenda michezo?
Nawapongeza Sport Extra kwa kazi mzr sana, labda wadau wenzangu munasemaje wapenda michezo?