Sport extra; huyu dada anayereport habari kutokea Ufaransa ni mwanahabari kweli?

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,550
Reaction score
39,949
Kiukweli ana uwasilishaji mbovu mno.

Anarudia rudia kitu kimoja hata mara tano.

Halafu na wao huwa sioni uhimu wa yeye kutoa taarifa tena maana ni kama tu anarudia kile ambacho wakina Lwambano wameshareport.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…