Sport Extra ya Clouds wamempotosha Saimon

Nikifanya hivyo sitakuwa tofauti na hiyo crew ya Sport Extra ya akina Shafii, Kibwana na Mbwiga. Labda wao wakipata huu uzi waje wathibitishe kuwa walichokirusha hewani hakimpunguzii hadhi mchezaji wetu.
Ukomavu...ahsante.
 
Lengo la uzi ni kuwakumbusha waandishi kuwalinda vyanzo vya habari kwani taaluma yao inawafunza kujua madhara ya habari fulani. Lengo siyo kusambaza walichokitangaza. Ila kama wewe ni mtu wa mpira basi hiyo habari utaipata kupitia njia nyingine.
For sure...nafikiri ndiyo concern ya mleta uzi.
 
Mkuu umeeleweka...!
 
Mkuu umeongea kweli, binafsi hayo mahojiano niliyasikiliza lakini sikuwaza huku ulikowaza Ila umetoa angalizo nzuri sana tena kwa nia njema kabisa ya kumlinda/kuwalinda wachezaji wetu.
 
Msuva hajielewi anaropoka sana sijui ushamba ,manager wake afanye kazi kumuelewesha ase na vitu vya kuzungumza kwenye media ...

Jau sana msuva
Aliyemhoji, mhojiwa, mhariri wa kipindi wote 'manzi ga nyanza'!
 

Mimisikusikiliza hicho kipindi...ila jambo moja nalifahamu kuhusu tunaowaita waandishi wa habari wa Tanzania,nalo ni kwamba: kiwango cha weledi wa waandishi wetu wa Tanzania kuhusu taaluma yao hii nyeti ni cha chini mno...In fact hata kuporomoka kwa soka yetu waandishi hawa wa habari wana mchango mkubwa wa karibu asilimia 40.
 
Basi naww uache kuleta story za umbea kama huwezi kuweka hapa watu wakasikia kilichosemwa kama kina tatizo

Mtu akitukana mtandaoni na wewe au mwingine akirudia kulisema tusi hilo unadhani itakuwaje???
 
Kweli kabisa mkuu! Tuna shida sana kwenye hii tasnia.Mfano, wanahabari wanatoa promo kwa wachezaji bila kujali weledi utafikiri wanapromote bongo movie. Promo zao wakati mwingine zinaingilia hata maamuzi ya walimu wa timu ya taifa. Kweli mabadiliko katika sekta ya michezo iendane na maboresho ya tasnia ya uandishi wa habari za michezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…