SportPesa and Betin Kenya shut down operations, Betin sends all staff home

Ni strategy tu ya GOK ku discourage betting, wabunge wao walipiga kelele sana ifutwe, kufukuza mtu sio lazima umwambie toka unaweza mwekea conditions ngumu kumeza akajiongeza mwenyewe.
 
AWA JAMAAA SHIDA SIOO 20%
NIMEFWATILIA SANA KESI ZAO SHIDA KUNA MATRA YAKENYA YALIKUWA YAKIPIGA DILI SO WANACHEZESHA DOCS JAMAA WANALIPA PUNGUFU

WALIPOSHTUKA GOV WAKAWASIMAMISHA BAADHI..WATATU WAKAHAIDIWA POST NZURI ASIKWAMBIE MTU WAKACHOMAA BETRI NZIMA

SO MAZUNGUMZO YOOTE YALIOONDELEA JAMAA WAKAOMBWA WAONYESHE DETAILS WANAVYOLIPA NA KWAKUWA WALIJUA JAMAA WALIOBAKI WAMECHOMOA BETRI IKAWA N BALAA WAKAKOMAA ..
TANZANIA. TUNA MIAKA MINGAP NA MAKAMPUNI MENGI YANALIPA 20%

HATA MAGUFULI AANZE KUFWATILIA KODI ZA BETTING ZINAVYOLIPWA WANAINGIXA PESA NDEFU SANAI
 
Kenya serikali inajali raia wake. Inajua athari za kamari na ndio maana inaweka sheria ngumu. Waje huku shamba la bibi, kila mtaa kuna mashine za kamari.
Somaa makaratasiiiyale 20% wanalipaaa usiwaone wajinga ama mafalaa wanachangia pesandefuu wale KWENYE Barbara za UBUNGO MBEZI kibaha ujenzi unaoondeleaa ooh
 
Waliopo ughaibuni sidhani kama issue ya kulipa kodi inasumbua kwao, maana pango - kodi, ajira - kodi, every thing - kodi na ni kwa asilimia zake, sasa sijui kwa nini kodi inaonyesha ni kero kulipa hasa hao mabeberu wakiwa hapa afrika?
 
Hawa watu hawataki iguswe faida yao. Kidogo tu utasikia mazingira ya uwekezaji siyo rafiki
 
kabla hawajafunga hakuna kweli wadau ambao walikuwa washapita na jackpot?
 
WAENDEEEEPAKASHUMEE HAOOO
1*BET NAOO WALITAKA KUWAWAJANJAJANJA WAKAPIGWA MIMBA KUTUMIA MITANDAO YA SIMU YATANZANIA
AWATAKI KULIPAKODI WALAKUWEKA OFISI TANZANIA LOH

WWAENDEE TU
 
Hizi kampuni za betting zinaingiza pesa nyingi sana, ila walalmishi sana kwenye kulipa kodi stahiki...



Cc: mahondaw
 
Huku kwetu biashara ya Mikopo sisi wa mtaani kodi yake ni 20% yani riba ndio inatozwa hivyo iyo ni kawaida
 
Ingefungwa na Tanzania maana hawa jamaa wanakula hela za watanzania wanapeleka nje, kitu nimejifunza kwenye michezo ya betting ni kua anayeshinda ni muendesha mchezo, wachezaji wote hua wanashindwa, ukishinda leo 10mil unaichezea yote ukihisi utapata 100mil unaishia kuipoteza yote alafu unarudi tena, hela yote hiyo wanabeba wanapeleka nchini kwao tu. Michezo yote ya kubet nchini ifungwe kama sio owned na watanzania
 
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…