Sportpesa Cup: Simba SC vs Leopard

Libolo umesahau alivyowakojolea

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipusa unaandika maji.Unazungumzia historia. Mwaka 2019 bikira imetoka anajilia tu.
Kocha anaweweseka mabondia wamekuwa watamu
Yondani anatema mate ovyo.Mimba changa hiyo chezea STENDI .
Kumbe mliwahi kupigwa 8 bila na enyimba, kumbe kitamboo mlianza kuliabishaa taifa, nyamvaf kabisaa,
Unaota wewe labda timu yenu ya wanawake ndio unayeiota.
Hiyo mechi ilichezewa wapi na lini.Mwezini?
 
Mara ushirikina, mara kuhonga marefa, mara kununua tim pinzani mara kubebwa na tii efu efu.....aloooo ndiyo maana records zenu ni za humu hum ndani
 
Mikia mko wapi msiukimbie uziii, njooni tubishane kwa hojaa! Na litim lenu hilo la ovyo ovyo
 
Mara ushirikina, mara kuhonga marefa, mara kununua tim pinzani mara kubebwa na tii efu efu.....aloooo ndiyo maana records zenu ni za humu hum ndani
Kanunue ndimu.Naona mimba changa inakusumbua. Nyie ndio Katibu wenu mkuu Makongoro alifungiwa maisha kwa kuhonga marefa mwenye mashindano ya CAF. Au ulikuwa hujazaliwa?
 
Mechi ijayo kwenye Sports Pesa mnacheza na nani?
 
Kama kawaida yenu simba, magoli2 ya offside, yaani simba kucheza na marefa tuu hamjambo, ndiyo maana kwenye fair ground mnabugizwa ‘dala dala’ nyambafu zenu nyie!!!!!!
Wee gongowazi, mlivyo-kalia bangi mlishindwa nini kucheza na marefa ili mfunge magoal ya offiside...?!
Kuna chenga moja mlipigwa wote hoi, ulimi nje matako bwatuu...!
 
Mara ushirikina, mara kuhonga marefa, mara kununua tim pinzani mara kubebwa na tii efu efu.....aloooo ndiyo maana records zenu ni za humu hum ndani
Mbona unateseka sana, wee gongowazi!
Leta bakuli tukuchangie mia mia, maana huko bwawa limefurika vyura ni makele tu kodrorooo, kodrodroooo!
 
Wale wakenya sio wazuri sijui wanaitwa Kario bangi . wanajua Yanga wananjaa wanavutisha bangi na njaa, kilichotokea sasa Makambo alijui yuko kwenye ulingo wa ngumi na kuanza kumrushi kipa huku akichangizwa na Nahodha wake Ajibu.
Mwisho uwanja wa mpira ukawa wa masumbwi. Hizo ni hasara za kukubali kuvutishwa bangi mchana tena ukiwa na njaa lazima huone ka uko kwenye ulingo wa masumbwi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…