Buzuruga Stendi
Member
- May 11, 2016
- 75
- 149
Mjomba jiunge 1XBET au bet365, kampuni ya kimataifa yenye odds mlima na option kama peponi vile? Hao jamaa hamna kitu kabisa. Kampuni zipo nyingi sana. Tusiongee mengi tukawaharibia wateja wao bure. Kama ww upo kwenye industry ya betting huwezi ukajiunga na kampuni ina option zakishamba za karne ya 16. Huko ni kutupa shilingi chooni.
Mwanangu endelea na M bet na Sport pesa. ukishakua mbobevu kwenye betting utajua tu Kuna kampuni zipo kufilisi raia na nyingine zipo kukufanya na ww upate hata hela ya Toyota Paso.Jamaa hizo kampuni za bet365 sio za UK? Shilingi ina transact vipi na wao ?
Kweli mkuu?Premier bet ndo mpango mzima, ukijiunga tu una 20,000 tshs za bure kabla ujaweka zako, wametisha sana hawa jamaa,
1xbet wakala wao bongo ni mhuni,nimeweka hela zaidi ya mara mbili sikuwahi kuiona kwny acc,hlf hela ikipotea hamna sehemu yoyote ile ya kulalamikaMjomba jiunge 1XBET au bet365, kampuni ya kimataifa yenye odds mlima na option kama peponi vile? Hao jamaa hamna kitu kabisa. Kampuni zipo nyingi sana. Tusiongee mengi tukawaharibia wateja wao bure. Kama ww upo kwenye industry ya betting huwezi ukajiunga na kampuni ina option zakishamba za karne ya 16. Huko ni kutupa shilingi chooni.
Kungojea nihamie princess mkuuMsaga sumu njoo princess bet..Huku kuna option za kumwaga na hela ipo nje nje
hiyo elfu 20,000 unaitumia vipi premier bet maana nilishajaribu lkn naambiwa sina salioPremier bet ndo mpango mzima, ukijiunga tu una 20,000 tshs za bure kabla ujaweka zako, wametisha sana hawa jamaa,
Hakuna hela za bule bule nyie, acheni kamari.Msaga sumu njoo princess bet..Huku kuna option za kumwaga na hela ipo nje nje
Mkuu, nikijisajili bet365 naongeza vipi salio?Mjomba jiunge 1XBET au bet365, kampuni ya kimataifa yenye odds mlima na option kama peponi vile? Hao jamaa hamna kitu kabisa. Kampuni zipo nyingi sana. Tusiongee mengi tukawaharibia wateja wao bure. Kama ww upo kwenye industry ya betting huwezi ukajiunga na kampuni ina option zakishamba za karne ya 16. Huko ni kutupa shilingi chooni.
SportPess hawana ubabashiaji ndugu yangu, sidhani kama kuna kampuni ya michezo hii inayoingiza pesa papo kwa hapo na yenye huduma bora kwa wateja kama hawa jamaa, mim huwa nawapigia nikiwa na shda kulalamika huk hakusov ki2Sportpesa mnatutumia meseji mkitumbia kuwa tukialika marafiki tunapata Bonus.
Tumewasikiliza na kualika marafiki lakini hamtoi hata shilingi kumi,pili nikibet nikaona nimefanya kosa kabla ya muda kuanza nashangaa siwezi tena kufuta bet,tatu customer support yenu imekuwa mbovu sana kwenye social media, badilikeni hizo ni tabia ya kampuni ndogo ndogo sio kama nyie
Maelezo ya namna kuwa retailer wa premier betting changamatoto na faida zakeMimi nataka kuwa Wakala wa Premier Bet kwa wilayani, Mwenye information Tusaidiane