Buzuruga Stendi
Member
- May 11, 2016
- 75
- 149
Sportpesa mnatutumia meseji mkitumbia kuwa tukialika marafiki tunapata Bonus.
Tumewasikiliza na kualika marafiki lakini hamtoi hata shilingi kumi,pili nikibet nikaona nimefanya kosa kabla ya muda kuanza nashangaa siwezi tena kufuta bet,tatu customer support yenu imekuwa mbovu sana kwenye social media, badilikeni hizo ni tabia ya kampuni ndogo ndogo sio kama nyie
Tumewasikiliza na kualika marafiki lakini hamtoi hata shilingi kumi,pili nikibet nikaona nimefanya kosa kabla ya muda kuanza nashangaa siwezi tena kufuta bet,tatu customer support yenu imekuwa mbovu sana kwenye social media, badilikeni hizo ni tabia ya kampuni ndogo ndogo sio kama nyie