Sportpesa: Je Kenya wametuzidi kimpira? Mara nyingine tena mshindi ni kutoka Kenya

Sportpesa: Je Kenya wametuzidi kimpira? Mara nyingine tena mshindi ni kutoka Kenya

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Je ina maana kimpira Kenya wametuzidi?

Ikiwa wametuzidi kimpira wa miguu sisi tunawashinda jambo gan Wakenya?

Team za Kenya zimeonesha kujawa na ushindani na kuwa na nia hasa ya Ushindi.

Asilimia 80 zinaonesha Fainal inamalizika Kenya wakitoa Mshindi kwa Mara ya pili mfululizo.
 
Marefa wanawabeba...jitu linashika wanapeta mechi ya Yanga
 
Je ina maana kimpira Kenya wametuzidi?

Ikiwa wametuzidi kimpira wa miguu sisi tunawashinda jambo gan Wakenya?

Team za Kenya zimeonesha kujawa na ushindani na kuwa na nia hasa ya Ushindi.

Asilimia 80 zinaonesha Fainal inamalizika Kenya wakitoa Mshindi kwa Mara ya pili mfululizo.
Kwani mashindano ndo yameisha au ni utabiri wako
 
Gudume huu mchezo waachie wenyewe ww yako ni kule MMU.

Ona unavyombwela sasa mchana kweupe.
 
Daaah nimekosa fainali[emoji2]
 
Sis tunawashinda wakat wa uchanguz tu waoga tunakubali matokeo kinyemera
 
Je ina maana kimpira Kenya wametuzidi?

Ikiwa wametuzidi kimpira wa miguu sisi tunawashinda jambo gan Wakenya?

Team za Kenya zimeonesha kujawa na ushindani na kuwa na nia hasa ya Ushindi.

Asilimia 80 zinaonesha Fainal inamalizika Kenya wakitoa Mshindi kwa Mara ya pili mfululizo.
Tunachowazidi ni kuwa idadi ya wanaume wanaopigwa na wake zao huku kwetu ni ndogo kuliko kwao
 
Nimeona Mechi ya Simba, kwa kweli kwa mpira ule hatutoboi hata kidogo
 
N'a huo ndiyo ukweli, Ila ukiuweka wazi anakuja juu. Timu inacheza mpira dk 180 bila kupata goli hata la kuotea, Ni hatari n'a Mpira wa timu zetu hautofatiani sana, wachezaji wote wabovu, hawana Ile kitu inaitwa fighting Split, basi tu sijui nani alituroga n'a bila shaka alishakufa.
Nimeona Mechi ya Simba, kwa kweli kwa mpira ule hatutoboi hata kidogo
 
Ukweli mchungu, simba na yanga huwa zinachukua ubingwa si kwa uwezo bali kwa kubebwa sasa matokeo yake ndyo km hya!!
 
waliokubeza sasa hivi macho chini,simba hawana uwezo uwanjani maneno mengi tu mdomoni
 
Hakuna kitu Watanzania tunaweza zaidi ya majungu na porojo. Mpaka sasa hivi Simba ameshachezea "viwili" bila majibu mbele ya Gormahiya. Simba wanaonekana kama "visichana" tu mbele ya Wanaume wa "Gor Mahiya".
 
Back
Top Bottom