Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Aug 10, 2019 #1 Kwema wakuu? Hii inahusu Kenya tu? Haita athiri na hapa Tanzania?
T Tui JF-Expert Member Joined Jun 2, 2018 Posts 4,698 Reaction score 6,670 Aug 10, 2019 #2 Ilikuwa siku nyingi walipopandishiwa kodi ya mapato. Mazungumzo yalifanikiwa huko Kenya wakaondoa tishio la kutodhamini mpira.Halihusu Tanzania.
Ilikuwa siku nyingi walipopandishiwa kodi ya mapato. Mazungumzo yalifanikiwa huko Kenya wakaondoa tishio la kutodhamini mpira.Halihusu Tanzania.