Sportpesa Super Cup: Kariobangi Sharks FC 2-3 Simba SC, uwanja wa Afraha. Simba inasonga hatua ya nusu fainali

Hahahaa. Lol.

Sasa Ukimataifa uko wapi kama mnachagua na timu. Hivyo unakubali nyie hamuujui mpira? [emoji85]
Sisi hata tukicheza na Mwarabu hakuna mwenye uhakika na ushindi kati yetu na wao sio kama nyie mkiingia uwanjani watu wanabishana mnafungwa mangapi siku
 
Sisi hata tukicheza na Mwarabu hakuna mwenye uhakika na ushindi kati yetu na wao sio kama nyie mkiingia uwanjani watu wanabishana mnafungwa mangapi siku
Hahahaaa. Sawa Sesten japokuwa umekwepa swali langu kiaina.

Haya muwe na kila la kheri kwenye Semi Final.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…