Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Singida sina shida nao mbona HajarMie kwa Simba uzalendo siuwezi kabisa. Ila kwa Singida niliruka na kuruka kufurahia ushindi.
Ungekuwa wewe ungeweza Sesten?
Halafu wamejificha goli likisawazishwa wanaamkaHapo wanavuta kasi utawaona Simba akikomboa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aungurumapo Simba..................Nipo nipo nafatilia mtani ushindi lazima SIMBA MOJA NGUVU MOJA
Usijali Sesten si unajua Hajar mpenda utani nilijua fika Ulimi hauna mfupa. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dah! Yaleyale ya mfupa hauna ulimi Hajar......haya narekebisha tusiandikie mate wino ungalipo bibie, kaa kitako hapohapo kwenye luninga yako halafu uangalie vijana
Hujajibu Swali langu lakini Sesten. [emoji12] [emoji12] [emoji12]Singida sina shida nao mbona Hajar
Hahahaaa. Haitasaidi tutawaona ni wale shabiki maandazi tu yaani mioyo yao midogo.Halafu wamejificha goli likisawazishwa wanaamka
Singida nimewashangilia pia maana sina tatizo nao, lakini ingekua wamecheza wale wenye makao makuu yao Mtaa wa Twiga na Jangwani ningejishauri sana kuwashangiliaHujajibu Swali langu lakini Sesten. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Umeona sasa hivyo wacha tu na sie uzalendo utushinde.Singida nimewashangilia pia maana sina tatizo nao, lakini ingekua wamecheza wale wenye makao makuu yao Mtaa wa Twiga na Jangwani ningejishauri sana kuwashangilia
Mpira haujaisha mpaka uishe, watu walishawahi kutangulia kufunga hadi mabao matatu na watu wakarudisha na ushindi juu, sasa hapo usijiaminishe sana na Gor Mahia yenu Hajar, bado mapema sanaHahahaaa. Haitasaidi tutawaona ni wale shabiki maandazi tu yaani mioyo yao midogo.
Kasoro Sesten naona anapambana kuitetea Simba yake. [emoji23] [emoji23]
Kama ume bet Gor anaondoka na ushindi nakusikitikia Hajar sababu mkeka unachanika huo
Hayo waliweza kuyafanya Liverpool na Manchester Sesten tu. Hahahaaaa.Mpira haujaisha mpaka uishe, watu walishawahi kutangulia kufunga hadi mabao matatu na watu wakarudisha na ushindi juu, sasa hapo usijiaminishe sana na Gor Mahia yenu Hajar, bado mapema sana
Kwa Gor hii wacha mkeka wangu uchanike tu kwa kweli. Niko radhi kabisaaa.Kama ume bet Gor anaondoka na ushindi nakusikitikia Hajar sababu mkeka unachanika huo