SPORTPESA SUPER CUP SPECIAL THREAD: Taarifa za Mechi zote na matokeo yote mpaka Ubingwa

SPORTPESA SUPER CUP SPECIAL THREAD: Taarifa za Mechi zote na matokeo yote mpaka Ubingwa

Azam TV wataendelea kuwa bora katika ukanda huu wa afrika mashariki na kati ITV pure coverage kabisa aisee
 
Singida utd wametolew kwa mikwaju ya penalt 5-4 dhidi ya vijana wa kenya Leopard.... Singida wakajipange kwa Ligi kuu tz baraa
 
Singida United ni timu nzuri sana.Nina uhakika italeta changamoto ligi kuu msimu huu.
 
Yanga na Tusker Mchezo unaanza mda si mrefu timu zote zpo uwanjani
 
Roma haikujengwa kwa Siku Moja.

Naamini kama ipo dhamira njema ya kujiboresha basi watabadilika, muhimu wapokee maoni ya Walaji/watazamaji na kuyafanyia kazi.
 
YANGA Vs TUSKER FC, washabikibwa Yanga wamejaa Taifa kweli
 
Back
Top Bottom