Dah 3-1 mwenzenu sina Mengi ndo hivyo hali mbaya kwa baba wa Taifa
Yanga jamani,Yanga
--------
Klabu ya Yanga kimeondoshwa katika mashindano ya SportPesa Super Cup 2018 kwa kukubali kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya timu ya Kakamega HomeBoys, mchezo uliopigwa mjini Nakuru
Kakamega wamejipatia mabao yao kupitia kwa Allan Wanga aliyefunga mawili huku moja likiwekwa kimiani na Opondo. Bao pekee la Yanga limewekwa kiminiani na Matheo Anthony kwa njia ya faulo
Matokeo hayo yanaibakiza Kakamega huku Yanga SC ikiyaaga rasmi mashindano na jumla ya timu 3 sasa kutoka Tanzania ambazo ni JKU, Singida United na Simba SC zikibaki
View attachment 793147