Hujajibu swali la msingi, wewe ni shabiki maandazi, Mpira hujui, kama ni ushabiki umeanza mwaka huu ambao Simba wamefanya vizuri kwenye vpl, siyo kosa lako uelewa wako mambo y'a soka unaishia Simba inapofanya vyema n'a Yanga akifanya vibaya basi.Tunazungumzia mchezo wa leo, yaani mwaka huu! Unatetea ujinga wakati Yanga inapoteza mchezo wa saba kati ya 14 iliyopita!
Haya basi, Yanga bingwa michuano ya SportPesa Super Cup 2018Hujajibu swali la msingi, wewe ni shabiki maandazi, Mpira hujui, kama ni ushabiki umeanza mwaka huu ambao Simba wamefanya vizuri kwenye vpl, siyo kosa lako uelewa wako mambo y'a soka unaishia Simba inapofanya vyema n'a Yanga akifanya vibaya basi.
utakuwa bwana mdogo sana..1987 na 1988 Simba sports club ilimaliza ligi ikiponea chupu chupu kushuka daraja...1987golikipa wa Yanga marehemu Sahau Kambi aliwazawadia Simba goli kitendo kilichopelekea Minziro kumpiga vitasa...hivyo hivyo 1988 walipanga matokeo na Tukuyu stars kama sijakosea wakafungana 8-8....Yanga imemaliza ligi ya tatu na still wako CAF confederation unasema Yanga mbovu...wakati Simba Mara ya kwanza na mwisho makundi 2003...huu ni upepo na utapita tuutuache ushabiki! toka nianze ushabiki wa mpira sijawah ona yanga au simba mbovu kama hii yanga ya sasa, wanakimbia kimbia tu uwanjan...kama wanafukuza kuku[emoji23] [emoji23]
Hahahaaa. Sema wewe Mkuu.Msijisahaulishe, Kwani mwaka jana Ile timu iliyoitoa Simba kwenye mashindano haya hapa taifa ilikuwa daraja la ngapi huko Kenya ? Kama kuna mpenzi wa Simba atajitokeza kujibu swali hili kwa ufasaha basi huyo ni mpenzi wa soka kwelikweli, siyo hawa wanafiki ambao hujitokeza pale timu inapofanya vizuri, ikichemka wanaingia mitini.
Nilisema watakuja na historia za marehemu. Bila kujali kikosi cha Simba cha mwaka 1987, kikosi cha Yanga cha sasa 2018 ni kibovu, na kitazidi kuwa kibovu zaidi 2018/2019utakuwa bwana mdogo sana..1987 na 1988 Simba sports club ilimaliza ligi ikiponea chupu chupu kushuka daraja...1987golikipa wa Yanga marehemu Sahau Kambi aliwazawadia Simba goli kitendo kilichopelekea Minziro kumpiga vitasa...hivyo hivyo 1988 walipanga matokeo na Tukuyu stars kama sijakosea wakafungana 8-8....Yanga imemaliza ligi ya tatu na still wako CAF confederation unasema Yanga mbovu...wakati Simba Mara ya kwanza na mwisho makundi 2003...huu ni upepo na utapita tuu
Hahaaaa. Ahsante sana Mtani nshapoa.Pole sana Hajar, hii timu inakuharibia swaumu yako bure[emoji3][emoji3]
Hahahaaaa. Ndio aisee. Nami pia naamini ni mapito tu haya Mtani. Teh tehUsijali mtani tuko pamoja..najua mnapita kipindi kigumu..lakini kitapita..
HII JEZI ya YANGA VPI WAKUUDah 3-1 mwenzenu sina Mengi ndo hivyo hali mbaya kwa baba wa Taifa
Yanga jamani,Yanga
--------
Klabu ya Yanga kimeondoshwa katika mashindano ya SportPesa Super Cup 2018 kwa kukubali kipigo cha mabao 3-1 dhidi ya timu ya Kakamega HomeBoys, mchezo uliopigwa mjini Nakuru
Kakamega wamejipatia mabao yao kupitia kwa Allan Wanga aliyefunga mawili huku moja likiwekwa kimiani na Opondo. Bao pekee la Yanga limewekwa kiminiani na Matheo Anthony kwa njia ya faulo
Matokeo hayo yanaibakiza Kakamega huku Yanga SC ikiyaaga rasmi mashindano na jumla ya timu 3 sasa kutoka Tanzania ambazo ni JKU, Singida United na Simba SC zikibaki
View attachment 793147