pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Punguza mapepe wewe kejeof. Kila mara ukiingia uwanjani kutizama mechi uwe unamuomba mungu kwanza, awabariki wakenya na Sportpesa yao. 😎Anasema pambana na hali yako wewe mshindia githeri na avocado
😃😃😃😃😀😀😀😁😁😁😁😅😅😅😆😆😆Hahaha huyo mkikuyu yupo kulamba miguu ya hao wazungu tu aliokua nae ingekua kweli ana la kusema hapo basi angeenda kuwajengea uwanja huko nyeri maana nyie kwa kujirundikia kila kitu ndo zenu yeye yupo tu kama mpenzi mtazamaji huku show inasimamiwa na mzee mzima Tarimba Abbas sio huyo mvimbiwa githeri
Unalia ama??😃😃😃😃😀😀😀😁😁😁😁😅😅😅😆😆😆
Kijana mtukutu, kumbe ulikuwa unajiita KEJOF? Kwa kuponda vya wengine haujambo. Hao Everton wamecheza kwa huo uwanja wa githeri wiki jana
Yao ama ya mabeberu waoPunguza mapepe wewe kejeof. Kila mara ukiingia uwanjani kutizama mechi uwe unamuomba mungu kwanza, awabariki wakenya na Sportpesa yao. 😎
Fanya utafiti wako kuhusu Sportpesa, chimbuko lake, founders wa Sportpesa, wamiliki wa Sportpesa. Alafu ukimaliza uje uulize maswali kuhusu partners ambao walivutiwa na wamiliki wa Sportpesa ilipovuka boda na kuingia nchi zingine hapa Afrika na Ulaya. Acha ukejeof, kama huna data sema tutakuchangia.Yao ama ya mabeberu wao
Blah blah blah hamna cha ajabu nyie tunajua walamba viatu vya mabwana zenu tu hamna la kubadilishaFanya utafiti wako kuhusu Sportpesa, chimbuko lake, founders wa Sportpesa, wamiliki wa Sportpesa. Alafu ukimaliza uje uulize maswali kuhusu partners ambao walivutiwa na wamiliki wa Sportpesa ilipovuka boda na kuingia nchi zingine hapa Afrika na Ulaya. Acha ukejeof, kama huna data sema tutakuchangia.
Sawa. Ila umebadilika sana tangia uache kujiita kejeof. Zamani post na nyuzi zako zote zilikuwa kuhusu mavi, kuchamba na tigo. Hongera jombaa. Kwa kiingereza huwa wanasema 'change is like rest'. Kama umesoma tamthilia ya Francis Imbuga, 'Aminata' utanielewa.Blah blah blah hamna cha ajabu nyie tunajua walamba viatu vya mabwana zenu tu hamna la kubadilisha
Sportpesa ni ya wabulgaria, wakenya 3 tu ndio wanahisa kidogo hapo. Yule former captain ambae ndio CEO, Mke wa late mayor wa nai na the only black Kenyan bilionare wanchuki..uongo?Fanya utafiti wako kuhusu Sportpesa, chimbuko lake, founders wa Sportpesa, wamiliki wa Sportpesa. Alafu ukimaliza uje uulize maswali kuhusu partners ambao walivutiwa na wamiliki wa Sportpesa ilipovuka boda na kuingia nchi zingine hapa Afrika na Ulaya. Acha ukejeof, kama huna data sema tutakuchangia.
From this structure what can you conclude? What % do Bulgaria has in the company? What about Kenya?Sportpesa ni ya wabulgaria, wakenya 3 tu ndio wanahisa kidogo hapo. Yule former captain ambae ndio CEO, Mke wa late mayor wa nai na the only black Kenyan bilionare wanchuki..uongo?
Nahitimisha Sportpesa ni ya wakenya. HahaFrom this structure what can you conclude? What % do Bulgaria has in the company? What about Kenya? View attachment 1158747
Nice. Hawa wabulgaria na mmarekani waliuzia hisa za Sportpesa 2016, miaka miwili baada ya kampuni kuwa incorporated na wakenya nchini Kenya. Hii strategy yao ya kupata connection za kimataifa ndio ilifanya wakafanikiwa kule U.K. Makao makuu ya Sportpesa yapo Kenya, CEO Karauri ni mkenya ushuru(35% ya earnings zao) wanalipa huku huku Kenya. Pevans East Afrika ambalo ndio kampuni linaloendesha shughuli za Sportpesa ni kampuni la kikenya. Waafrika huwa hatuamini kwamba waafrika wenzetu wanaweza wakadhubutu kufanya mambo ya kueleweka na wakafanikiwa. Hiyo ndio kasumba ambayo inatafuna bara hili.From this structure what can you conclude? What % do Bulgaria has in the company? What about Kenya? View attachment 1158747
Nahitimisha Sportpesa ni ya wakenya. Haha
Huwajui wabulgaria vizuri mkuu. Haswa kwenye biashara za makamari na casinos.
https://en.m.wikipedia.org/wiki/SportPesa Sportpesa is a Kenyan sports betting platform. With operations in Kenya, Tanzania, South Afrika, The Isle of Man and The U.K. Nice. Hawa wabulgaria na mmarekani waliuzia hisa za Sportpesa 2016, miaka miwili baada ya kampuni kuwa incorporated na wakenya nchini Kenya. Hii strategy yao ya kupata connection za kimataifa ndio ilifanya wakafanikiwa kule U.K. Makao makuu ya Sportpesa yapo Kenya, CEO Karauri ni mkenya ushuru(35% ya earnings zao) wanalipa huku huku Kenya. Pevans East Afrika ambalo ndio kampuni linaloendesha shughuli za Sportpesa ni kampuni la kikenya. Waafrika huwa hatuamini kwamba waafrika wenzetu wanaweza wakadhubutu kufanya mambo ya kueleweka na wakafanikiwa. Hiyo ndio kasumba ambayo inatafuna bara hili.
Nahitimisha Sportpesa ni ya wakenya. Haha
Huwajui wabulgaria vizuri mkuu. Haswa kwenye biashara za makamari na casinos.
CEO ni ex pilot na ana 7% share. Nikolov peke yake ana 63% share halafu unasema Kenyans mna ngapi?Do you know where the Headquarter is located?
Do you know the CEO of the company? Where is s/he coming from?
Are you aware that 35% of their earnings are paid as taxes to Kenyan government?
You are talking out of rumours. This is the structure of Sportpesa, are you seeing that your Nikolov? What % does he have?CEO ni ex pilot na ana 7% share. Nikolov peke yake ana 63% share halafu unasema Kenyans mna ngapi?
CEO ni ex pilot na ana 7% share. Nikolov peke yake ana 63% share halafu unasema Kenyans mna ngapi?
Muulize Karauri atakwambia Ilikuwaje hadi Sportpesa ikatokea aikiwa na Nikolov.Hey, which country owns Sportpesa? I'm waiting for your answer.
Lol.. Kumbe jamaa alikuwa moto wa kuotea mbali. Amewa-troll sanaSawa. Ila umebadilika sana tangia uache kujiita kejeof. Zamani post na nyuzi zako zote zilikuwa kuhusu mavi, kuchamba na tigo. Hongera jombaa. Kwa kiingereza huwa wanasema 'change is like rest'. Kama umesoma tamthilia ya Francis Imbuga, 'Aminata' utanielewa.