SPORTPESA TOKA MUINGIE MKATABA NA YANGA MMEAMUA KUTOPATIKANA NILIPENI MIL4 YANGU

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Asee Hawa jamaa sjui vp Jana nimewala kias tajwa hapo juu had sasa mpunga haujaingia app yao haifunguki lakn matangazo wanatuma kupitia simu kuwa tucheze

Namba zao zote wamezofunga kwangu siwapati au mkataba na yanga wamekwangua hela zote

Hii ndyo kampun nayoiamin hapa bongo
 
Na mimi nimeingia JF kuona kama kuna thread inayozungumzia hili tatizo.

Kiukweli wameboa kweli leo
 
Mwanangu hata Mimi app haifunguki.Ungeshea mkeka mkuu

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Nashukuru wakuu

Wamenipa changu tayari kumbe tatizo lilikuwa mtandao

Tuendelee kutumia spotpesa jamaa wanajar na wasikivu Sana

Niwatakie jioni njema
 
Nashukuru wakuu

Wamenipa changu tayari kumbe tatizo lilikuwa mtandao

Tuendelee kutumia spotpesa jamaa wanajar na wasikivu Sana

Niwatakie jioni njema
Sio kihivyo. Furaha ni kulewa na marafiki, tushtue pande zipi tutimbe
 
Tuwekee Screen Shot la sivyo utakuwa ni miongoni mwa waliokimbia Milembe siku za hivi karibuni.
 
Nahisi Kuna mchezo wamefanya hawawezi wakafanya maintance weekend wakati wanajua Leo Kuna mechi nyingi ikiwemo jackpot ya kuwaingizia mamilioni...halafu baada ya mechi nyingi na jackpot kuisha usiku huu ndio wanarudi kuwa active...halafu jackpot ya Leo ni tofauti na nyingine yaani mechi zote siku moja ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…