mukishinda ndio munakuwa wachambuzi sana. Siku ya 4:0 na 1:0 haya maneno hatukuyasikia!
Mkuu kama wewe ni shabiki wa Chelsea kwenye "Chelsea special thread ile mechi ya 1-0 hii post naimani ulikutana nayo ...
"Imagine Chelsea without ng'olo or Kante".... Wale waliobuni lile tangazo la super sport sijui waliwaza nini nimewaza hapa kutokana na kazi wanayotoa wale super sport na Yule ng'olo kante wao.....
Chelsea anatembelea kichwa, miguu, akili, moyo, mapafu na macho ya Claudio Kantelele........ Kuna wakati unahisi wapo kante watatu uwanjani.... Mmoja ana analinda, wa pili anachezesha timu na mwingine anashambulia...... Mungu kamuumba kante mfupi, mweusi lakini anawazwa sana kuliko watu mweupe na warefu.....
Marcos Rojo kwanza ndio afuate Dave save(de Gea).... Mabeki Wengi Wakizungu wanakosa roho mbaya miguuni na umafia.... Wao wamejaaliwa umafia pekee Bila roho mbaya miguuni. Washambuliaji wa kaliba ya Diego Costa wanahitaji kukabwa na mabeki kaliba ya Marcos Rojo...... Beki bora kabisa wa kati katika mchezo huu maana kumficha Diego costa huyu sio kazi rahisi.
Bado Conte anahitaji ku install mbinu za ku unlock padlock kama zile zilizowekwa na Manchester united.......
Kadi ya kwanza laini kabisa na kadi ya pili ndio nyepesi kabisa hapa ndipo kila mtu anaukimbia uamuzi...... Waswahili wanasema kila shetani na Mbuyu wake na Oliver ni mbuyu wa shetani mwekundu tu......
Hakukua na jinsi ilikuwa ni lazima mmoja w afungwe na atoke...... FA cup robo fainali kushney..... Tukutane nusu fainal.
Mwenye bei halisi ya Kante jamani kabla ya dirisha la usajili kufika ?
Chelsea 1-0 Manchester united.
Karibu mkuu