Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 276
- 549
Kabla ya hii Derby ya Kariakoo nilikuwa nikifuatilia kwa karibu sana aina ya uchambuzi uliokuwa ukifanya Kati ya Wasafi FM na ndugu zetu waliokwisha poteana Kwenye tasnia nzima ya habari yaani Clouds FM. Sifichi nawasifu sana akina kumwembe, Hambangile na meza yenu nzima kwa ku keep usawa na ukweli uliopelekea kuona usahihi wa hii derby.
Kwaherini Clouds FM Mungu awajalie mzidi kudidimia kila siku.
Kwaherini Clouds FM Mungu awajalie mzidi kudidimia kila siku.