Sports Arena, Sports Headquarters na Sports Extra

Sports Arena, Sports Headquarters na Sports Extra

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kipindi gani hapo cha michezo kinakuvutia kati ya Sports Arena ya Wasafi Fm, Sports Headquarters ya Efm na Sports Extra ya Clouds Fm. Hapa tuangalie mpangilio mzima wa kipindi, uchambuzi mzuri na mengineyo ya muhimu. Je ni kipindi gani hapo kinakuvutia zaidi karibu...
 
Sports Arena
Sports Headquarters wote hao sijawahi kuwasikiliza
Sport Xtra niliacha kuwafuatilia
Kiujumla radio za Tanzania hakuna vipindi vizuri vya michezo wote ni wababaishaji
kweli tanzania bado wababaishaji..kati ya redio tatu umesikiliza redio moja na bado umemalizia kwa kusema "redio za Tanzania hazina vipindi ni wababaishaji"..

sport extra inatamba kwa sababu inafikia watu wengi sana..ila madini ya michezo yako sports HQ na sports arena .binafsi naikubali sporta HQ kwa uchambuzi wao ..pale wamemkosa George Ambangile tu timu ikamilike ...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna ki2 wote hapo.... Kuna redio kipindi nasoma mzumbe Moro nilikuwa naisikiliza saa mbili mbili hivi... Si planet,si abudi, si mumu....ila wale jamaa walinikosha....... Nilikuwa naenda saa 3 prepo kisa michezo.... Dah maisha haya...
 
Kipindi bora cha michezo ni Kipyenga tu ya EA Radio
Kipindi gani hapo cha michezo kinakuvutia kati ya Sports Arena ya Wasafi Fm, Sports Headquarters ya Efm na Sports Extra ya Clouds Fm. Hapa tuangalie mpangilio mzima wa kipindi, uchambuzi mzuri na mengineyo ya muhimu. Je ni kipindi gani hapo kinakuvutia zaidi karibu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi binafsi sports Arena kila siku ya Mungu nikipata muda nasikiliza. Lakin sports extra nasikiliza lakin ukweli wajamaa wamechuja sana.sio kama zamani nadhani shida ni kwamba jamaa wamezoea kuwa juu kwa hiyo hawaoni cha kuwashusha,ila baada ya miezi mi3 mbele tayari hali itakuwa tete kwao.Kumbuka sports Hq inakufa kifo cha mende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom