ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Eti nae mchambuzi hii kitu inanishangaza kila uchwao.....
Na kile kipindi chao wakaze haswa maana studio kama hayupo edo na kitenge kinapwaya balaaaa hakina maajabu kabisaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na kile kipindi chao wakaze haswa maana studio kama hayupo edo na kitenge kinapwaya balaaaa hakina maajabu kabisaaaa
Kuna anayemuelewa Ricardo Momo? Wenzake wakizungumza yeye kazi yake ni kudakia na kuingilia mazungumzo ya wenzake.
Sent using Jamii Forums mobile app