Kuna anayemuelewa Ricardo Momo? Wenzake wakizungumza yeye kazi yake ni kudakia na kuingilia mazungumzo ya wenzake.
Dj Lucky aondolewe na misingeli yake
Kwangu mm Sports Headquarters wanachoniboa ni matangazo aisee,jamaa wana matangazo mengi mpaka inaboa kuwasikiliza,to me Sports Arena is the best
Sent using Jamii Forums mobile app
utasikia enzi hizo nipo shule blah blah blahKuna anayemuelewa Ricardo Momo? Wenzake wakizungumza yeye kazi yake ni kudakia na kuingilia mazungumzo ya wenzake.
Undugunization/Urafikinazation at work.Kuna anayemuelewa Ricardo Momo? Wenzake wakizungumza yeye kazi yake ni kudakia na kuingilia mazungumzo ya wenzake.
Nimekuelewa sana mkuu, tuko pamojaSports Arena
Sports Headquarters wote hao sijawahi kuwasikiliza
Sport Xtra niliacha kuwafuatilia
Kiujumla radio za Tanzania hakuna vipindi vizuri vya michezo wote ni wababaishaji
Enzi ya nyuma nilikuwa nafatilia sana, hisabati za michezo, ila sasa matangazo mengi afu zikibaki dakika mbili wanamaliza juu juu, nikaona hawajitambui nikawapotezea...Kwangu mm Sports Headquarters wanachoniboa ni matangazo aisee,jamaa wana matangazo mengi mpaka inaboa kuwasikiliza,to me Sports Arena is the best
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinaruka kuanzia saa ngap?
Ha ha ha nani kausoma?Sports HQ ndio bora kina wachambuzi mahiri zaidi wamecheza mpira na kuusoma
Kwahili hata mimi ni shahidi nakuunga mkono.
George Ambangile vp hakuvutii kwenye uchambuzi? Achana na huyo mtoto wa nyumbani Momo.Eti nae mchambuzi hii kitu inanishangaza kila uchwao.....
Na kile kipindi chao wakaze haswa maana studio kama hayupo edo na kitenge kinapwaya balaaaa hakina maajabu kabisaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafahamu sana, wewe waachie wanaohusika watacomment tu.Hivi mleta mada unafahamu kuwa humu jf kuna members wengi tu tunaishi mikoani?Na unajua huku mikoani hiyo Efm na wasafi FM havisikiki?Ila nahati mbaya pia vitu vya kuiga huwa si vizr kwani nahisi hao wanaiga tu siamini kama watakuwa na jipya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ki2 wote hapo.... Kuna redio kipindi nasoma mzumbe Moro nilikuwa naisikiliza saa mbili mbili hivi... Si planet,si abudi, si mumu....ila wale jamaa walinikosha....... Nilikuwa naenda saa 3 prepo kisa michezo.... Dah maisha haya...
Kinaruka kuanzia saa ngap?
Aliyekwambia nilikuwa mtoto nan...unajua nilikuwa na miaka mingapi.... Na hata hivyo sijabadili mtazamo wangu juu ya hilo....kama ww unahusika na hivyo vipindi ndo hivyo hamna kitu.... Sonofabitch...Sasa vitu ulivyovipenda utotoni unalinganisha na vya ukubwani? Mtoto hata leo ukimwambia achague pipi au gari la thamani ya mil 200 atachagua pipi tu.. you were moth..fcking little boy !
Mkuu subiri mambo yapambe moto utajuta kukisikiliza kwani wao unafikiri hayataki hayo matangazo wanayataka sanaKwangu mm Sports Headquarters wanachoniboa ni matangazo aisee,jamaa wana matangazo mengi mpaka inaboa kuwasikiliza,to me Sports Arena is the best
Sent using Jamii Forums mobile app