Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ogopa sana mke ambaye mkiachana anaanza kukutangaza mtaani...Hiv karibuni Mwinyi Zahera amekuwa akifanya media tour na kuwalikwa pia na media mbalimbali sports arena wameulizwa mbona wao hawajamwita Zahera wamejibu "Zahera ameshafukuzwa na yanga na kocha anapimwa kwa matokeo au uchezaji wa timu yake hatuna sababu yakumwita studio hata ukimwita azungumzie yanga itakuwa Haina faida sisi hatufanyi kazi za umbeya labda ingekuwa tunafanya mahojiano ikiwa yupo ndani yanga ndio ingekuwa inamake sense".
Kwa njia zote lazima atalipwa,.. ubaya wake ni upi?Hao sports Arena wana akili sana. Na bila shaka wameonesha ukomavu! Ni uwendawazimu kutengeneza vipindi na mtu ambaye ameshafukuzwa kazi, kwa lengo tu la kumchafua na kumdhalilisha mwajiri wake.
Hayo malalamiko si angeyatoa kabla hajafukuzwa? Atatumiwa na hizo media, mwisho wa siku ataenda tena kuwapigia magoti hao hao viongozi ili wamlipe stahiki zake.
Na ningekuwa mimi ndiyo Mwenyekiti wa klabu, ningehakikisha anayapata hayo malipo yake kupitia Tff, Caf, Caz, au Fifa kabisa.
Kwa njia zote lazima atalipwa,.. ubaya wake ni upi?
mko very bright, hongereni msijifananishe na mbumbumbu wa Clouds fm na efmHiv karibuni Mwinyi Zahera amekuwa akifanya media tour na kuwalikwa pia na media mbalimbali sports arena wameulizwa mbona wao hawajamwita Zahera wamejibu "Zahera ameshafukuzwa na yanga na kocha anapimwa kwa matokeo au uchezaji wa timu yake hatuna sababu yakumwita studio hata ukimwita azungumzie yanga itakuwa Haina faida sisi hatufanyi kazi za umbeya labda ingekuwa tunafanya mahojiano ikiwa yupo ndani yanga ndio ingekuwa inamake sense".
We kama nani unamzuia kuongea..? Mtu mzima unampangia chakufanya..?Amefukuzwa kazi, akae kimya, asubirie stahiki zake, aondoke zake na kwenda kutafuta changamoto mpya! Makocha wenzake wote nchini na duniani, hufanya hivyo! Yeye siyo kocha wa kwanza duniani kufukuzwa.
Kama anahisi ameonewa, kuna vyombo husika vya kudai haki! Huko kulialia kwenye vyombo vya habari hakuwezi kubadilisha chochote! He is fired!
We kama nani unamzuia kuongea..? Mtu mzima unampangia chakufanya..?
Kwani akiongea anawatoa nini.. Acha aongee then atanyamaza.
Huna mamlaka juu ya kinywa chake.. Tuache ushamba mkuu