Sports arena ya wasafi: Hatutamuita zahera

ogopa sana mke ambaye mkiachana anaanza kukutangaza mtaani...
 
Kwa njia zote lazima atalipwa,.. ubaya wake ni upi?
 
Kwa njia zote lazima atalipwa,.. ubaya wake ni upi?

Amefukuzwa kazi, akae kimya, asubirie stahiki zake, aondoke zake na kwenda kutafuta changamoto mpya! Makocha wenzake wote nchini na duniani, hufanya hivyo! Yeye siyo kocha wa kwanza duniani kufukuzwa.

Kama anahisi ameonewa, kuna vyombo husika vya kudai haki! Huko kulialia kwenye vyombo vya habari hakuwezi kubadilisha chochote! He is fired!
 
Wanajikosha tu kisa hajaanzia kwao
 
mko very bright, hongereni msijifananishe na mbumbumbu wa Clouds fm na efm
 
We kama nani unamzuia kuongea..? Mtu mzima unampangia chakufanya..?
Kwani akiongea anawatoa nini.. Acha aongee then atanyamaza.
Huna mamlaka juu ya kinywa chake.. Tuache ushamba mkuu
 
We kama nani unamzuia kuongea..? Mtu mzima unampangia chakufanya..?
Kwani akiongea anawatoa nini.. Acha aongee then atanyamaza.
Huna mamlaka juu ya kinywa chake.. Tuache ushamba mkuu

Hakuna wa kumzuia! Isipokuwa tunamshauri tu aachane na uvuvuzela wake maana hautabadilisha chochote! Ameshafukuzwa kazi! Hivyo ni wakati wake wa kwenda kutafuta changamoto mpya, badala ya kulialia kwenye hizo media.

Anachokifanya Zahera ndiyo ushamba wenyewe! tena uliochanganyika na utoto ndani yake! Yanga ilikuwepo kabla yake, na itaendelea kubaki kwa miaka mingi tu ijayo bila yeye. Utoto anaoufanya, utampotezea hata ile heshima ndogo aliyoipata kwenye timu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…