Sports Pesa ni nini?

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
1. Ni akina nani?

2. Walianzia wapi?

3. Malengo yao ni nini?

Haya maswali yanatuvuruga wabara wengi. Tunashangaa tu matukio.

Sasa hili la Everton limekua kubwa.
 
Sportpesa nilijua ni wakenya lkn walipoanza kudhamini club za bongo na kujiestaablish sana bongo nkastaajabu!

Hili la everton sio dogo hata kidogo! Plz atokee wa kututoa huu ushamba....

Ni kina nani!?
Wameanzia wapi!?
Wanamlengo gani!?
Mtaji wao ni nini!?

Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
 
Mbona hata blue band, omo, nakula, kbc bank, equity bank ni wakenya. Mwekezaji huwa anazingatia political stability ya nchi hili apate faida
 
Sportpesa ni kampuni kutoka Kenya ya kubashirii matokeo ya michezo(sports betting).

Kampuni hii ilianza Kenya na kuendelea na kuingia nchi nyengine kama U.K(Uingereza), South Africa na sasa hivi imeingia Tanzania. Sportpesa imejizolea umaarufu nchini Kenya ukizingatia ni mojawapo ya Kampuni yenye kutengeza hela nyingi kwa siku. Inasemekana kampuni hii inatengeza faida ya Kshs.130,000,000 kwa siku ambayo ni sawa na Tshs.2.6 bilioni kwa siku.

Kutokana na faida hii kubwa, Sportpesa wameamua kuwa wadhamini wa timu kadhaa za mpira ili kujiongezea umaarufu duniani kote.

Kampuni hii ina partnership na timu nne zinazoshiriki ligi kuu ya Uingereza ambazo ni Arsenal, Hull City, Everton na Southampton. Na pia ni wadhamini rasmi wa Jersey wanazovaa Everton na Hull City.

Nchini Kenya wanadhamini ligi kuu ya Kenya na pia wanawavalisha timu kama Gor Mahia, AFC Leopards na Nakuru All Stars.

Nchini Tanzania wameamua kudhamini Simba, Yanga na Singida United.

Kwa vile Tanzania ni wageni wa mambo haya, ndio wameamua kuwaamsha. Hii yote ni biashara, na mchezo wa Gor Mahia vs Everton ni kama tangazo. Kama wanavyosema biashara matangazo.

Soon mtaanza kubashiri matokeo ya michezo( mostly football) kwenye simu zenu kupitia Sportpesa Application. Sportpesa wanataka kuwa the biggest betting firm in the world.
 
Kwa vile Tanzania ni wageni wa mambo haya, ndio wameamua kuwaamsha. Hii yote ni biashara, na mchezo wa Gor Mahia vs Everton ni kama tangazo. Kama wanavyosema biashara matangazo.
Ohhhh......


Sasa wewe Mkenya si utufungue zaidi sisi wabongo...
 


Okay... So its Kenyan'
 
ni kikundi ch wa2 tu wamekaa n kuongea ongea..

mx_nature
 
Umenena vema sana mkuu.

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania mnamsoma huyu mdau...!?
Wa
 
Whaaat... two bilion kwa siku.
 
Umetufungulia njia mkuuuuu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…