Sports Pesa ni nini?

wako vizuri ndio maana wamemwaga pesa za kutosha kwenye club zetu bongo..
 
bila TRA au service levy, du Abbas Tarimba jiandae wenzako D9 vivi hivi

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app

bila TRA au service levy, du Abbas Tarimba jiandae wenzako D9 vivi hivi

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app

Yes thats after tax mkuu. In Kenya, betting operators wanalipa tax ya only 7.5% of their net income. So hii kampuni inatengeza hela za kutosha.

Lakini kuanzia mwaka ujao, baada ya serikali kugundua hizi kampuni za betting zinatengeza hela ndefu, inasemekana itakuwa wanalipa tax 50% ya mapato yao. Yaani watagaanya nusu kwa nusu na serikali. Hii itaathiri sana michezo ya betting nchini Kenya.

Nafkiri hii ni moja ya sababu kuu wao kukimbilia soko la Tanzania wakizingatia labda ushuru utakuwa mdogo.
 
Sio kbc bank ni kcb bank

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Yap ni KCB which stands for Kenya Commercial Bank.

KBC stands for Kenya Broadcasting Co-operation ambapo ni kituo cha runinga cha serikali kama vile TBC.
 

Mobile money transactions kama (e.g MPESA) zilianzia Kenya na zinafanya vizuri tu.
May be na SportPesa itafanya vizuri..
Japo kuwa imeingia Tanzania kijanja janja... (Rejea mshituko/mshangao waliokuwa nao Simba na Yanga).
 
Mobile money transactions kama (e.g MPESA) zilianzia Kenya na zinafanya vizuri tu.
May be na SportPesa itafanya vizuri..
Japo kuwa imeingia Tanzania kijanja janja... (Rejea mshituko/mshangao waliokuwa nao Simba na Yanga).
Talk about Mpesa through Vodacom Tanzania, hapa manyang'au wanaonewa wivu, wanapigwa vita na matajiri kwenye financial industry hawajapenda kabisa manyang'au kufanikiwa kuvumbua hii, ingekuwa ni mzungu mwenzao wangeweza kuwaruhusu ku operate na kuwaunganisha kwenye mifumo mingi tu ya electronic transfers, ila sababu ngozi nyeusi na maskini atafaidi naona wanawatolea nje, kuna wakati Western Union walishiriki na Mpesa, sijuwi kwanini wakasitisha, ila kudos manyang'au, hapo kwenye Mpesa mmetupiga bao la nguvu mno..
 
Mbona hata blue band, omo, nakula, kbc bank, equity bank ni wakenya. Mwekezaji huwa anazingatia political stability ya nchi hili apate faida
Hivi omo na blue band sio kampuni ya uniliver?!
Nijuavyo uniliver ni multilateral company kama sikosei origin yake ni SA
 
Sportpesa ni wa kubet walianza uingereza mtaji wao no pesa za kubet lengo lao ni kutufanya tuwe mabingwa wa kubet

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
Sportpesa ni wa kubet walianza uingereza mtaji wao no pesa za kubet lengo lao ni kutufanya tuwe mabingwa wa kubet

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu walianza Kenya. It is owned by Pevans East Africa Company ambayo iko Kenya, which has shareholders in Kenya, Bulgaria and United States.

Headquaters ya ofisi za Sportpesa iko Nairobi na CEO anaitwa Ronald Karauri, ni Mkenya as well.
 
Inaitwa.weka mbali na watoto

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nasikia wahenga wa sportpesa walianza Marekani wakawa matajiri wa kufa mtu lakini baadae wakafilisika. Kizazi cha sasa kinajaribu Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…