SportsPesa Cup: Bandari 2 vs 1 Simba

Mkiambiwa ukweli nyie ni underdog mnakasirika.alafu Manara anawadanganya kwa mchina hatoki mtu,leo mmekufa hapo hapo kwa mchina,haya tarehe 1 feb Misri,sijui mtakula ngapi.
 
Oooh kwa mchina hatoki mtu ,leo mmekufa hapo hapo kwa mchina,wiki ijayo siku kama ya leo Misri sijui mtakula ngapi.
 
Safi sana Tanzania kwa siasa ndio Mabingwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huko ulaya Timu zinacheza ndani ya wiki moja mara mbili yaani jumanne au jumatano wanakipiga halafu tena jumamosi au jumapili inaingia tena uwanjani kukipiga. Ulaya kuna michuano mingi tu mfano kuna ligi kuu, kombe la ligi mfano copa Italy kwa nchini Italy na kombe la FA (emirates) kwa uingereza, n.k bado kuna michuano ya kimataifa kama ueropa league na uefa champions league na timu zinacheza zaidi ya mara moja kwa wiki pasipo shida wala kulalamika.

Je unakumbuka mara ya mwisho Simba akicheza mechi ya ligi kuu hadi sasa imeshapita wiki ngapi? Unalalama hivyo wakati Simba haijacheza mechi za ligi kuu kwa muda mrefu tu, je wangechezeshwa ligi kuu si ungelalama hadi basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klabu bingwa kwa kuhonga ni Yanga wao hata mechi za Kimataifa unamkumbuka mzee Mpondela(RIP)aliwahonga marefa pale Ethiopia ila ulikuwa bado hujazaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
eti mna kikosi cha bilioni 2, na hali mnaposahau kuhonga au kununua mechi tuu majanga yanawakuta, sijui mtaendelea kuhonga hadi lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…